Unajua watu wanashindwa kuelewa kwa nini watu wanaandamana,ukweli ni kwamba H. Clinton ndiye wapiga kura walimchagua lakini kutokana na mfumo wao wa uchaguzi aliyetangazwa mshindi ni mwingine, kwa ushindi wa electro votes.not fair at all but ndio mfumo mliojiwekea inabidi kukubaliana nao!!