Maneno yako kweli kabisa lakini hadi hapo tutakapo pata ushahidi toka upande wa madai ndipo tunaweza kumsafisha.. Binafsi simuamini yeyote ndani ya CCM na sababu kubwa ni kwamba hawaendi sherehe bila ndizi mfukoni hivyo sii rahisi kumsafisha mwenye ndizi ya kwamba hakwenda kwenye sherehe kutafuta kula..Duh Mkuu Nape, inatosha maana hamna majibu now you can see my point mara kwa mara Kwa Mwenyekiti wa CCM taifa kwamba awe anawalazimisha Viongozi wa CCM kuja kujibu hoja hapa JF itapunguza sana majungu. SALUTE!
Ni sawa kwa Nape kukanusha yale ambayo si sahihi aliyotuhumiwa nayo, lakini kwa viongozi wengi wa CCM ambao wamekaa kwenye mfumo wa wizi watakuja vipi hapa kukanusha madai kama ya EPA, bahasha la Jairo, Mkataba wa Kinyoji wa jengo la UVCCM pale Morogoro road?Duh Mkuu Nape, inatosha maana hamna majibu now you can see my point mara kwa mara Kwa Mwenyekiti wa CCM taifa kwamba awe anawalazimisha Viongozi wa CCM kuja kujibu hoja hapa JF itapunguza sana majungu. SALUTE!
Duuuuhhh !!!! Nilikuwa sijui kumbe huwa unapiga majungu JF. Wacha wananchi wadadavue mambo. Napita tu.
Mheshimiwa Nape, umeeleweka sana na besides who are we kuingilia matumizi ya Vyama vya siasa? JF tusimamie Taifa kwanza. - William
Unafikiri Mwenyekiti atamkubalia? Bado namsubiri mleta hoja ajibu hoja za Nape.
- Muandikie mwenyeiti wako JK mwambie badala ya VX upewe VITARA iau gai ndogo kwa matumizi ya dar.
Jew CDM wameanza kuwa makini sana toka Mh. Nape ashike ngazi, siku hizi ni hoja kwa hoja, sio zile enzi za kina Tambwe na that is all Wananchi we could ask kutoka Vyama vyetu vikuu vya siasa for the good of our Nation at large! - William
Jew CDM wameanza kuwa makini sana toka Mh. Nape ashike ngazi, siku hizi ni hoja kwa hoja, sio zile enzi za kina Tambwe na that is all Wananchi we could ask kutoka Vyama vyetu vikuu vya siasa for the good of our Nation at large! - William
Hivi Tambwe amewahi kuwa CDM? Anyway, sio issue sana hiyo. Tatizo kuu la Nape ni kudhani anapambana na ufisadi ndani ya CCM! Hivi kwa logic ya kawaida tu, Mafisadi wanaweza kupambana na Ufisadi? One more point, CCM inaendelea kupumua katika uwanja wa siasa kwa sababu ya ufisadi wake, sasa cha ajabu Nape anapoteza muda kutudanganya kwamba anapambana na mtaji (ufisadi) wa CCM!
Alipoona ameshindwa amekigeukia CDM na kudai eti Dr wa ukweli ni fisadi! Baada ya kuona wananchi wamempuuza hana tena hoja! Poor Nape!
HUU NI UZUSHI ULIOKUBUHU!! ONENI AIBU KUZUSHA MAMBO KAMA MBWEHA WANAOTAFUTA MADUME
Mzito Kabwela,
Nikushukuru kwa kunukuu huu uzushi na uzandiki na kuuleta hapa! nilipouona Rai sikushangaa wala kustuka ila niliupuuza sawa na kukanyaga sisimizi, you dont feel, lakini hapa nitajibu kwani sasa nahisi unataka kukuzwa, kule sikuhizi Rai hata Kibamba halifiki so haikunipa tabu.
..Kwanza mwenye ushahidi wa mshahara wangu alete hapa ili tuanze na huo!
.. Sijawahi kulipwa posho zilizotajwa na mwenye ushahidi nazo azilete hapa!
.. Gari ninalo nadhani bei ni zaidi ya iliyotajwa, dhambi yake nini???!!
.. Sina wasaidizi wanaolipwa na CCM, kwa taarifa ninajitosheleza naweza mpaka kuchapa kazi zangu mwenyewe huyo msaidizi wa nini? Sitetemeki mikono kama mafisadi sihitaji...msaidizi
.. Nimelazwa juzijuzi hospital Kairuki mission nendeni kaangalieni kalipa nani?!! sijazoea kulipiwa/kufadhiliwa kama alivyodekezwa Mzito Kabwela na wanaoishi mjini kwa fitini na pesa za kifisadi kama wasimamizi wale..
HUU NI UZUSHI ULIOKUBUHU!! ONENI AIBU KUZUSHA MAMBO KAMA MBWEHA WANAOTAFUTA MADUME
Mheshimiwa Nape, umeeleweka sana na besides who are we kuingilia matumizi ya Vyama vya siasa? JF tusimamie Taifa kwanza. - William
hujajibu hoja ww nape..unachofanya ni kulalama tu ili uonewe huruma...jibu hoja kisomi kwa kutumia ubongo na si kwa kutumia hayo MASABURI YAKO....Mzito Kabwela,
Nikushukuru kwa kunukuu huu uzushi na uzandiki na kuuleta hapa! nilipouona Rai sikushangaa wala kustuka ila niliupuuza sawa na kukanyaga sisimizi, you dont feel, lakini hapa nitajibu kwani sasa nahisi unataka kukuzwa, kule sikuhizi Rai hata Kibamba halifiki so haikunipa tabu.
..Kwanza mwenye ushahidi wa mshahara wangu alete hapa ili tuanze na huo!
.. Sijawahi kulipwa posho zilizotajwa na mwenye ushahidi nazo azilete hapa!
.. Gari ninalo nadhani bei ni zaidi ya iliyotajwa, dhambi yake nini???!!
.. Sina wasaidizi wanaolipwa na CCM, kwa taarifa ninajitosheleza naweza mpaka kuchapa kazi zangu mwenyewe huyo msaidizi wa nini? Sitetemeki mikono kama mafisadi sihitaji...msaidizi
.. Nimelazwa juzijuzi hospital Kairuki mission nendeni kaangalieni kalipa nani?!! sijazoea kulipiwa/kufadhiliwa kama alivyodekezwa Mzito Kabwela na wanaoishi mjini kwa fitini na pesa za kifisadi kama wasimamizi wale..
HUU NI UZUSHI ULIOKUBUHU!! ONENI AIBU KUZUSHA MAMBO KAMA MBWEHA WANAOTAFUTA MADUME
Mara kadhaa tumeshamshauri Nape aachane na ujinga ujinga wake anaouendeleza lakini amekuwa hasikii.
Na wenye akili tulimshauri awe makini sana anapoamua kutumika lakini bado amekuwa mbishi.
Wengi tunaofuatilia siasa za Tanganyika na Zanzibar tunaelewa kuwa Nape hana Muda mrefu ataingia kwenye recycle bin ya siasa.
Juzi juzi alikurupuka kupinga ongezeko la posho kwa wabunge ambapo kina Mtatiro walimwambia aache unafiki. Zitto akamtetea. Zitto ana sababu zake za kumtetea Nape na si lengo la sredi hii kumjadili Zitto.
Ona sasa ya Nape:
1. Analipwa Mshahara wa Zaidi ya Shilingi Milioni 2 kwa mwezi
2. Amepewa gari Land Cruiser VX la gharama za sh Mil 180
3. Amepewa wasaidizi wanaolipwa na Chama
4. Anapewa MAFUTA, NYUMBA na MATIBABU BURE (Hapa nina maana kwa gharama za Chama)
4. Anaposafiri, hutia kibindoni posho na fedha ya kujikimu zaidi ya shilingi 135,000/=
5. Mara nyingi (karibia zote) anaposafiri mikoani, pamoja na kupewa kitita cha safari toka Makao makuu ya chama, bado anako kwenda hulipia malazi na chakula.
Kwa upande mwingine, makatibu wa ngazi za kata hulipwa posho ya Shilingi 10,000/- kwa mwezi na Makatibu wa Matawi hulipwa Shilingi 5,000/- kwa Mwezi.
Iko wapi dhamira ya Nape ya kupinga ongezeko la posho kwa wabunge? Nani asiyejua kuwa posho wanazolipana kwenye sekretarieti ya CCM ni kodi za wavuja jasho wa Tanzania?
Source: Uchunguzi wangu binafsi ambao ni wakweli. Nape aje hapa akanushe.
Nawasilisha.