Unafiki wa John Pombe Magufuli

Unafiki wa John Pombe Magufuli

Achaneni siasa mbovu za kuchafuana wakuu tusiwe wanafki kazi alizofanya mhe; John Bombe Makufuli zipo wazi na anastahil pongezii ni mzalendo aliyetukuka anayesimamia vyema majukumu yake. Bravoooo Makufuli....!!!
 
Huyu jamaa toka alipouza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa na kumuuzia hawara yake mmoja nyumba za serikali basi nilishamtoa kwenye watu wasafi bali namwona ni fisi aliyevaa ngozi ya kondoo
 
Mimi nawashangaa baadhi ya watu wanaosema huyu jamaa ni mtendaji mzuri,.mara sio fisadi. hakuna kitu ni mnafiki tu
ANASHINDWAJE KUSIMAMIA SHERIA ILI waliojenga majengo TANESCO Mikocheni hadi Mayfair plaza wayabomoe ili maji yaendelee kwenda baharini yani hili eneo mvua kidogo tu maji yanajaa barabara yote ila cha ajabu Magufuli hata tu kuongelea hili swala hata mara 1 anaogopa wenye pesa ila angekuwa kajenga maskini hapo angebomolewa na kutolewa maneno ya kejeli si hapo tu yapo maeneo mengi yenye kero kama hiyo ila huyu bwana anayaogopa.

Ile ni kashfa ya wizara ya Ardhi iliyompa kibali mwekezaji uchwara kujenga nyuma ya Tanesco
 
magufuli mkwala tu ona strabag wanavyofanya kazi inaonesha wamefeli.....alafu hao hao strabag walishafukuzwa ulaya na hawapewi kazi huko ndiyo wameletwa africa tanzaniaa na wamepewa tenda....magufuli angekua imaraa si angelijua hilo kablaa

Kampuni kama hizi ni nzuri kwa viongozi wetu maana wengi wapo kwa ajili ya maslahi binafsi siyo umma.
 
kama unasema ni kazi ya wizara ya ardhi KWA HIYO NYUMBA ZOTE ZA VIGOGO/WANASIASA ZILIZO KWENYE HIFADHI YA BARABARA ZINASHUGHULIKIWA NA MAMA TIBAIJUKA alafu zote za walalahoi zinashughulikiwa na magufuli.??

1.shoppers,mayfair na hizo apartment hapo hazipo ndani ya hifadhi ya barabara
2.kama uko ndani ya hifadhi ya barabara watabomoa ukawadai wizara ya ardhi

maji hayajai pale mikocheni kwa sababu nyumba zipo kwenye hifadhi ya barabara. ni kwasababu nyumba zimejengwa kwenye swamp ambayo maji ya mvua yalikuwa yanakaa mpaka yanakauka au kutiririka baharini taratibu.

kama ulikuwa maeneo hayo siku nyingi utakumbuka hapo tanesco/shoppers/heineken house pote palikuwa ni swamp wakati wa kiangazi kukavu masika kunajaa maji
 
Mimi nawashangaa baadhi ya watu wanaosema huyu jamaa ni mtendaji mzuri,.mara sio fisadi. hakuna kitu ni mnafiki tu
ANASHINDWAJE KUSIMAMIA SHERIA ILI waliojenga majengo TANESCO Mikocheni hadi Mayfair plaza wayabomoe ili maji yaendelee kwenda baharini yani hili eneo mvua kidogo tu maji yanajaa barabara yote ila cha ajabu Magufuli hata tu kuongelea hili swala hata mara 1 anaogopa wenye pesa ila angekuwa kajenga maskini hapo angebomolewa na kutolewa maneno ya kejeli si hapo tu yapo maeneo mengi yenye kero kama hiyo ila huyu bwana anayaogopa.

kingine ulichokosea hayo majengo hayapo kwenye hifadhi ya barabara hivyo MAGUFULI HANA MAMLAKA YA KUBOMOA.
 
Kwani magufuli ni waziri wa ardhi?unapotoa uzi jaribu kuuliza hata kwa jirani la sivyo unaaibika ka hivi suala la vibali vya ujenzi wa tanesco,tmj na mayfair si lake
 
Makufuli(nimefunika kombe) ni bonge la msanii. ameshawajulia wabongo kwamba mnapenda wenye kelele na micfa basi amekua mtaalam feki wa Takwimu!!!!
 
Jamani, hata katika kundi la wajinga kuna mmoja wao atakuwa mjanja zaidi ya wote. Hii haina tofauti na uongozi wa serikali hii ya ccm. Ndio maana wakati mwingine unasikia watu wakisema ni bora Magufuli angekuwa raid kwani JK anaoneka ni unworthy.
 
Mimi nawashangaa baadhi ya watu wanaosema huyu jamaa ni mtendaji mzuri,.mara sio fisadi. hakuna kitu ni mnafiki tu
ANASHINDWAJE KUSIMAMIA SHERIA ILI waliojenga majengo TANESCO Mikocheni hadi Mayfair plaza wayabomoe ili maji yaendelee kwenda baharini yani hili eneo mvua kidogo tu maji yanajaa barabara yote ila cha ajabu Magufuli hata tu kuongelea hili swala hata mara 1 anaogopa wenye pesa ila angekuwa kajenga maskini hapo angebomolewa na kutolewa maneno ya kejeli si hapo tu yapo maeneo mengi yenye kero kama hiyo ila huyu bwana anayaogopa.
majengo yaliyojengwa kadokado ya mito mbona Aruaha yako mengi
 
Kwani magufuli ni waziri wa ardhi?unapotoa uzi jaribu kuuliza hata kwa jirani la sivyo unaaibika ka hivi suala la vibali vya ujenzi wa tanesco,tmj na mayfair si lake

acha kuuliza kama huna akili kwani magufuli amewah kubomoa nyumba ngapi za wananchi wa kawaida mbona hapo hukuuliza kua ni waziri wa ardhi?
 
Kama magufuli mnafki na wewe mnafki,na walio mchagua wanafki,na aliyemteua mnafki,tz wote wanafki.

Tuache kunyooshea watu vidole bila sababu za msingi.
 
magufuli mkwala tu ona strabag wanavyofanya kazi inaonesha wamefeli.....alafu hao hao strabag walishafukuzwa ulaya na hawapewi kazi huko ndiyo wameletwa africa tanzaniaa na wamepewa tenda....magufuli angekua imaraa si angelijua hilo kablaa
Nilikuwa siwajui hawa Strabag, kumbe ni hivyo
 
Acha mambo ya ajabu mkuu magufuli ni zaidi ya kiongozi siyo kama unavyodhani wewe kwenye fikra zako.
Hii ndiyo awamu itakayovunja rekodi za ufisadi.

Sasa hivi ufisadi Ni nini mkubwa kuliko inavyodhaniwa.Kilichofanyika walihakikisha kundi la wezi linakuwa na idadi ndogo ya wezi.Ni watu wachache kigenge Cha watu fulani ndiyo kinapiga wizi mkubwa mkubwa.

Zamani angalao fedha za ufisadi zilikuwa zinafikia wale wanyonge mtaani.
 
Back
Top Bottom