Hakuna ubaya yoyote kuombea amani. Biblia inasema misingi ikiharibika wenye haki watafanya nini? Sisi kama wenye haki tunapaswa kwenda kwa Mungu kwa njia ya toba kwa ajili ya maovu yote yalipaswa kufanyika na yanayoendelea kufanyika. Tunapaswa kumuomba Mungu aingilie kati utawala wote na mfumo wote wa nchi, pia haki itendeke kwenye uchaguzi mkuu.
Kuchangia siyo pia jambo baya, kumbuka kuna gharama kubwa za kuwalete waimbaji kutoka nje ya nchi. Kumbuka Mungu huwa anaketi katika sifa za watu wake, ni jambo jema pia kuwashirikisha waimbaji kwa ajili ya kumtukuza Mungu. Kumualika mkuu wa nchi siyo jambo baya, kumbuka taifa huwa linaweza kukuosa kibali mbele za Mungu mkuu wa nchi akienda kinyume na mapenzi ya Mungu. Pale rais anakwenda kama mkuu wa nchi na siyo mwenyekiti wa chama. Kumbuka pia ni jambo jema mbele za Mungu watu kukusanyika kwa umoja na kunyenyekea mbele zake kwa ajili ya kulilia taifa lao. Sidhani kama itakuwa vyema kumualika mgombea yoyote, ila kwasababu rais ni kiongozi wa nchi hakuna ubaya.
Biblia inasema katika 2 nyakati 7:14, watu wa Mungu wakiomba na kumlilia Mungu yeye husikia na kuiponya nchi yao. Sisi tunapaswa kulia mbele za Mungu aingilie kati ili haki itendeke. Maombi ndiye silaha yetu tu. kumbuka sisi hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili bali katika roho. Hatupaswi kutukana, wala kulalamika sana, silaha yetu ya kwanza lazima iwe ni sala na maombi. Lazima tuelewe kila kitu kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho, tusipoomba haki haitaweza kutendeka kwenye uchaguzi mkuu, hata tupige kelele vipi. Hebu tummlie Mungu yeye aingilie kati, na kugeuza mioyo ya watendaji wote wa NEC, wasisimazi wa uchagizi, na pia mwenyeketi wa tume. Shalom!!!!
Kuchangia siyo pia jambo baya, kumbuka kuna gharama kubwa za kuwalete waimbaji kutoka nje ya nchi. Kumbuka Mungu huwa anaketi katika sifa za watu wake, ni jambo jema pia kuwashirikisha waimbaji kwa ajili ya kumtukuza Mungu. Kumualika mkuu wa nchi siyo jambo baya, kumbuka taifa huwa linaweza kukuosa kibali mbele za Mungu mkuu wa nchi akienda kinyume na mapenzi ya Mungu. Pale rais anakwenda kama mkuu wa nchi na siyo mwenyekiti wa chama. Kumbuka pia ni jambo jema mbele za Mungu watu kukusanyika kwa umoja na kunyenyekea mbele zake kwa ajili ya kulilia taifa lao. Sidhani kama itakuwa vyema kumualika mgombea yoyote, ila kwasababu rais ni kiongozi wa nchi hakuna ubaya.
Biblia inasema katika 2 nyakati 7:14, watu wa Mungu wakiomba na kumlilia Mungu yeye husikia na kuiponya nchi yao. Sisi tunapaswa kulia mbele za Mungu aingilie kati ili haki itendeke. Maombi ndiye silaha yetu tu. kumbuka sisi hatufanyi vita kwa jinsi ya mwili bali katika roho. Hatupaswi kutukana, wala kulalamika sana, silaha yetu ya kwanza lazima iwe ni sala na maombi. Lazima tuelewe kila kitu kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho, tusipoomba haki haitaweza kutendeka kwenye uchaguzi mkuu, hata tupige kelele vipi. Hebu tummlie Mungu yeye aingilie kati, na kugeuza mioyo ya watendaji wote wa NEC, wasisimazi wa uchagizi, na pia mwenyeketi wa tume. Shalom!!!!