Unaelewaje hii picha.

tz1

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
2,121
Reaction score
536


Kama haamini vile kilichotokea.
 
mpunga mtamu we haacha kabisa!Unadhani alitegemea vitabu vingerudi roma?
 
Muone alivyovimba yeye anadhani ni unene kumbe dhambi zimemfumuka ili kila Mtanzania amuone
 
Anafikiria baada ya hapa... Maisha yatakuwaje eti.... ? Nae aliisha Zoea kuitwa Mzee na ulinzi mkubwaaaaa! Maisha bwana !
 
mbona jamaa kama amelala au anawaza nini kitatokea baada ya hapo.
 
hii kali jamaa anajifanya mwema sasa ngoja tuone amesema bunge lijalo atatupa ukweli halisi
 
Jamaa anawaza ulaji utapungua kidoogo!
 
Jamaa nikama wamelazimishwa kuwepo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…