Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
....kama jibu lako ni "NDIYO" then chagua kipi bora kati ya haya mawili (na ukumbuke kuwa sekta ya afya - kama zilivyo karibu sekta zote - ni kuwa inakaribia ku-collapse kabisa kutokana na uongozi mbovu, wizi, ubadhilifu pamoja na serikali kuwa wrong priorities):
Note: Suala la wagonjwa kufa haliepukiki in short term, kwa kuwa daktari hatafanya muujiza kumponyesha mgonjwa bila dawa na vifaa vingine muhimu katika kazi yake. HOJA ni what is the long-term impact kwa wagonjwa.
- Madaktari wasigome lakini bado wagonjwa wafe (kwa kuwa hakuna zana za kufanyia kazi, hakuna madawa na madaktari wamekatishwa tamaa na hawana morali ya kufanya kazi yao dilligently na serikali iendelee kuboronga kama ilinavyofanya). For sure kwa option hii serikali haitashughulikia chochote ILA ITAAHIDI kushughulikia kama ambavyo imekuwa inaahidi siku zote bila utekelezaji.
- Madaktari wagome, wagonjwa wafe (just like in option 1 above) lakini serikali ILAZIMIKE KUFANYA MABADILIKO CHANYA katika uendeshaji ili madawa na vifaa vipatikane na madaktari wapate moyo wa kufanya kazi and eventually wagonjwa in future wapewe huduma stahiki?
Note: Suala la wagonjwa kufa haliepukiki in short term, kwa kuwa daktari hatafanya muujiza kumponyesha mgonjwa bila dawa na vifaa vingine muhimu katika kazi yake. HOJA ni what is the long-term impact kwa wagonjwa.