Samahani mkuu Diamond ndo nani tena???
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
hana impact yoyote katika life yangu so i neither like nor hate him, in short to me haexist
Diamond ndo nani? Nikim google nitamwona?
ajitaid kuwekeza la sivyo atazeeka vibaya!! simpendi kwa uma*ay* wake
Watanzania mna roho ya kwanini sana, kwa hilo ni laana kubwa mko nayo
Wewe lazima ni HATER........ na kwa taarifa yako haters ndo wazuri, wanawafanya wanaowa-hate wapae juu na juu zaidi
Heee sio hater kwan ni lazima kila mtu amjue..to be honest hata mm diamond simjui ni nani?
Kumiliki Gari la milioni 60 ni issue?
Kumiliki nyumba Tatu ni issue?
Kuna watu wanamiliki magari ya bei hiyo kama matatu na magorofa na unapishana nao kwenye kahawa....
Watanzania UMASIKINI umetujaa sana kiasi kwamba hata zile basic needs za mtu wa urban area kuwa nazo inaonekana kama ufahari
Heee sio hater kwan ni lazima kila mtu amjue..to be honest hata mm diamond simjui ni nani?
siwezi kukupinga maana sijui unaishi kijiji/msitu gani, unaweza ukawa muhadzabe kama siyo mmang'ati.Heee sio hater kwan ni lazima kila mtu amjue..to be honest hata mm diamond simjui ni nani?
Jipendekeze/jitongozeshe ili ule nae resources zake nadhani itakusaidia.haya nimejua...sasa inanisaidiaje???
We unazo?Kumiliki Gari la milioni 60 ni issue?
Kumiliki nyumba Tatu ni issue?
Kuna watu wanamiliki magari ya bei hiyo kama matatu na magorofa na unapishana nao kwenye kahawa....
Watanzania UMASIKINI umetujaa sana kiasi kwamba hata zile basic needs za mtu wa urban area kuwa nazo inaonekana kama ufahari