Unachokitafuta kwa mchepuko,kuna mwanaume anakipata kwa mkeo

Unachokitafuta kwa mchepuko,kuna mwanaume anakipata kwa mkeo

Usiogopeshe watu.

Sio kila mke wa mtu anatoa utamu nje.

Wanawake tu wa sikuhizi hawana maadili. Wanashindana na wanaume zao, wakihisi na kuona waume zao wana wanawake nje basi na wao wanakuwa na wanaume nje.

Kwahiyo ww una mchepuko na yeye ana mchepuko.

Labda ili kulipiza kisasi.
Au kutaka kujua kama bado ana mvuto, (hawajiamini hivyo watahitaj mwanaume mwngne athibitishe kuwa bado anavutia).
Au kutafuta faraja.
Au hasira.
Na wengne wanaona ni haki sawa.

Ila Ukiishi na Mke wako vizuri.
Ukatimiza mahitaj yake kimwili, kihisia na Ukamuheshim na kuheshim familia yako.
Yaan unyooke in many ways.
Mwanamke hawezi kwenda kutoa utamu nje.

Mwanaume unaweza kufanya hivi na bado ukawa na mchepuko na wife akatulia.

Kwahiyo sio kila Mke wa mtu anacheat.
 
Usiogopeshe watu.

Sio kila mke wa mtu anatoa utamu nje.

Wanawake tu wa sikuhizi hawana maadili. Wanashindana na wanaume zao, wakihisi na kuona waume zao wana wanawake nje basi na wao wanakuwa na wanaume nje.

Kwahiyo ww una mchepuko na yeye ana mchepuko.

Labda ili kulipiza kisasi.
Au kutaka kujua kama bado ana mvuto, (hawajiamini hivyo watahitaj mwanaume mwngne athibitishe kuwa bado anavutia).
Au kutafuta faraja.
Au hasira.
Na wengne wanaona ni haki sawa.

Ila Ukiishi na Mke wako vizuri.
Ukatimiza mahitaj yake kimwili, kihisia na Ukamuheshim na kuheshim familia yako.
Yaan unyooke in many ways.
Mwanamke hawezi kwenda kutoa utamu nje
.

Mwanaume unaweza kufanya hivi na bado ukawa na mchepuko na wife akatulia.

Kwahiyo sio kila Mke wa mtu anacheat.
😍😍😍
 
Back
Top Bottom