Ytoday
JF-Expert Member
- Sep 24, 2022
- 201
- 225
Biashara zipi ukifanya unaweza fika hizo sehem ??? Mfano me nauza nguo nataka nijue nitakapofika
Kuna vitu ukivifanya hata ufanyaje kuna sehemu hutafika...i mean kuna grade ya maisha usitarajie kabisa kufika kwa kazi fulani au biashara fulani..