Una housegirl?

Una housegirl?

mi naona poa tu kwanin nini?mwacha ampe dogo utamu angali bado mdogo akikuwa atakuwa GURU wa sekta hiyo

Dah! Kiongozi jana ulilala bar au? Naona bado hangover imekukamata.
 
...mnashangaa?



...eti bana, huenda alikaanzisha kwa kupaka asali kwanza mpaka katoto kakanogewa maskini...🙁
kwa hiyo majumbani mwetu tusiweke asali?
 
🙂 ingefaa kuwa na " Read 'at your own risk' warning" kwa wazazi nini?

Pole.


Yaani ukiwa mzazi lazima maini yafe ganzi kwa muda ukisikia habari hizi! Naomaba tuchukue dk 1 ya kuwaombea wanetu kokote kule waliko muda huu!......................................
As a little child relies
On a care beyond his own;
Knows he's neither strong nor wise,
Fears to stir a step alone,—
Let me thus with Thee abide
As my Father, Guard, and Guide!
Amen.
 
Mahausigeli wanahitaji kuwa huru nao wanahamu pia ya kumegwa unapo mbana na kumnyima uhuru wa kule libeneke madhara yake ndo haya sasa mwache ajivinjari ila aangalie misingi ya kazi tu.

Fidel, you are not serious, ndio afanye molestation. Kwa nini asingejaribu kwa baba mwenye nyumba? Oh poor baby amekula uchafu kiasi gani?

Ningemshindilia chupa ya soda ndio nyege zake ziishe,
 
Kama ni kweli mnafanya hivi kwanini muwafungie housemaids nyumbani? kwanini msiwape day off?

Kama ni tabia yake hata ukimpa day off atafanya tu. mbona wengine wanafanya na mbwa? Pengine hana jamaa.
 
Mhh! mtoto wa mwaka mmoja? . . . . !!!!!!!!!!!! will that baby be consistent in doing that?
 
Ina maana alikuwa ang'atwi?

Kama angempeleka mtoto kwa madaktari makini wangeweza kumwambia aian hiyo virus ya mdomo inapatikana kwa njia gani, angepata hint.
 
duh this is sad jamani ..
sishangai kuwa mtoto mdogo kaweza kunyonya au kulamba hiyo kitu, pengine alimuwekea sukari, au chakula anacho kipenda mtoto yule arambe. 🙁
ushauri kwangu ni kuwa na wasichana wa kazi ambao wanakuja asubuhi na kuondoka jioni mama mwenye nyumba anaporejea kazini, hii linawezekana sana tena ( kwa nafsi yangu nna mfanyakazi wa aina hii), na weekend anakula off yake unless aseme mwenyewe anataka kuja kama tunaenda beach or zoo.

nafikiri namna tunavyowachukulia wafanyakazi wa ndani tanzania ni sawa na wazungu walivyokuwa wakiwachukulia wafanyakazi weusi katika kitabu "the help". unaweza kusoma ukajipima una tofauti gani nao
 
Mi nimesikia hapa majuzi kuwa Watoto watatu wa Familia moja wameambukizwa VVU kwa makusudi na Housegirl, kisa alikuwa anagombezwa na mama mwenye nyumba.

Kwa hali tuliyonayo sasa hivi, Housegirl si watu wa kuamini tena. Familia siwa makini sana na Housegirl.
 
Kama ni tabia yake hata ukimpa day off atafanya tu. mbona wengine wanafanya na mbwa? Pengine hana jamaa.
ooow dear i was not justifying the act... nilikuwa nashangaa tuu kwanini hawa housemaids hawapewi day off... kama nikweli hawapewi day off then its a big problem... they are human after all...anyway that's another topic...
 
Vita vya Kiroho

Ibilisi na majeshi yake wamegundua kuwa ukiharibu HOME, umeharibu jamii na pia umeharibu Taifa na hivyo umeharibu Dunia. Katika kizazi hiki cha BUSY BUSY, Housegirls kimakosa wamekuwa the main pillars za HOME.

Pamoja na usomi wako wote na pesa zako zote kimsingi Housegirl kwenye jamii nyingi za leo ndio wanaotawala HOME kwa muda mrefu zaidi. Na kwa kuwa wengi wao kiroho na kinafsi ni dhaifu, tatizo kubwa linatokea.

Kama hajapindua serikali ya first lady wako, kama hajaaribu vijana wako wa kiume, kama hajakufanyia mambo ya kishirikina, kama hajaleta majambazi nyumbani akidhani ni ma-sweety wake, kama hajakuliza, kama hajaweka sumu kwenye chakula, kama hajamweka mtoto wako mchanga kwenye oven kwa hasira, kama hajatoa hadharani siri zako za ndani, kama hajakufia nyumbani na wewe kuwekwa ndani kwa kuwa ametoa mimba uchochoroni kwa siri, kama hajadedi na ukashindwa pa kupeleka mwili kwa kuwa hata nduguze huwajui, kama haya na mengineyo hayajafanyika basi tumshukuru Mungu.

Tutazame upya nafasi ya beki tatu kwenye familia zetu wote HGs na HBs, wana mchango mkubwa sana katika kujenga au kubomoa kizazi cha sasa na kijacho.

JE BUSY ni Being Under Satans York? No No it shouldn't.
 
jamani hii dunia imekwisha kuna kisa kilitokea eneo lakwetu same same na hili mama mmoja aliamsaidia dada mmoja akawa anaishi naye kama mdogo wake na akujua kama ameathirika na huyu mama alipojifungua akawa anamwachia huyu dada aliyemsaidia mtoto wake mdogo amlee anapokuwa kazini baada ya mda mtoto akawa anaugua mara kwa mara wakapima vipimo vyote wapi dr akawashauri wapime hiv alipopimwa mtoto kaathirika wazazi wote wazima dr alipohoji mtoto anakaa na nani wakasema na dada alipopimwa kaathirika baada ya kuhojiwa akakiri alifanya kusudi alikuwa akimjonyesha.
keli watumebadilika wamekuwa wanyama hizi ni cku za mwisho
 
matatizo ya ma housegal ni mengi mno. kuna aliyekua ananyonya katoto ka kuime nyeti zake wakati wa kumlisha chakula ili asilie. siku ya siku mama anamlisha katoto hakataki kabisa kula. kaka yake mkubwa mkubwa hivi kama wa miaka minne / mitano, anaongea, anamwambia mama yake, mnyonye huku kama dada ndio atakula!!! mama macho yalimtoka kama ya bundi!
mwingine nae aliajiriwa kulea mtoto mchanga kabisa, kumbe alikotokea alikua amezaa mtoto akafa kwa vile alikua na ukimwi, hsegal kuanza kazi maziwa bado yanatoka lakini hakusema, mama akienda kazini, hsegal anamnyonyesha mtoto, mama anashangaa maziwa ya kopo hayaishi, kumbe mtoto anyonyeshwa na hsegal. 40 ya hsegal ilipofika mama karudi ghafla nyumbani anamkuta dada busy anamnyonyesha mtoto, karibu akate roho, kuhojiwa anadai eti alijifungua mtoto akafa hivyo maziwa yanajaa na yanauma, akaamua kunyonyesha kichanga kile. hsegal kupimwa anakutwa muathirika na kitoto kile kilikutwa negative, japo wazazi walishauriwa apimwe tena after 3 months. sikupata taarifa baada ya hapo.
tunapokua makazini kwa kweli, tukabidhi maisha watoto wetu kwa mwenyezi mungu awalinde. kusema eti hsegal nae anajisikia sio sawa, maana ukijisikia huwezi maliza shida yako kwa malaika wa mwenyezi mungu. ina maana yeye ndio anajisikia zaidi ya hsegal wengine? hii sio sawa kabisa. tukisema tuwe tunarudi majumbani mara moja moja, hii itategemea, unaishi wapi na unafanya kazi wapi na pia kama una usafiri wa uhakika, sio kitu rahisi, kurudi nyumbani kila siku eti umfuatilie hsegal. Ila ni muhimu kua karibu nao ili uweze kuwasoma vizuri na kujua tabia zao japo kidogo. Pole sana mama ulokutwa na janga hili, na asante kwa mleta mada.
 
Mh! akili yangu ilizimia kwa muda siamini! Ee Mungu tuepushe na majanga haya , nimekosa ushauri maana kwa hasira mi ningeweza tenda kitu ambacho nitajutia baadae.
 
Mh! akili yangu ilizimia kwa muda siamini! Ee Mungu tuepushe na majanga haya , nimekosa ushauri maana kwa hasira mi ningeweza tenda kitu ambacho nitajutia baadae.

Kwa wanaojua maana na umuhimu wa familia hapa duniani, hii hali inatisha Mom.
 
Back
Top Bottom