Una gari?

najua

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
224
Reaction score
54
Basi ISECURE INVESTMENT imekulete car tracking system itakayo kuwezesha kukupa taarifa ya gari yako na kupata nafasi ya kuwa karibu na gari kupitia simu yako ya mkononi, kifaa kitakuwezesha kufanya vitu vifuatavyo .

1. Kuzima gari kupitia simu
2. Kuzuia kuwasha gari
3. Kujua mahali gari lilipo na speed yake.
4. Kukupa taarifa ikiwa milango imefunguliwa isivyo halali
5. Kujua matumizi ya mafuta,
6. Kujua ikiwa gari linawashwa au linazimwa
7. Kujua kama gari kama gari linaendeshwa kwa mwendo hatarishi.

Gharama ni nafuu sana , kwa mawasiliano piga simu namba 0714890018 au email isecure24@ymail.com au jmgullu@gmail.com.
Unaweza kuuliza na kujibiwa maswali yako kwenye hii thread
 
Gharama nafuu ndio bei gani mkuu, umejitahidi umetoa information zote, kwenye bei unaandika gharama nafuu. Hapo watanzania ndio mnaniacha hoi kwa nini hampendi kuweka bei za vitu vyenu au ndio bei maelewano duh.
 
huduma nimeipenda na nipo tayari kuanza kuitumia lakini gharama na natamani kuitumia lakini naomba kujua gharama kabla sijainua simu yangukukupigia
 
Unafuu wa Gharama ni "relative term",
Yaani Unategemea na vitu vingi,
Kwanini usimalize tu udhia kwa kutaja hiyo gharama!!
 
Umepotelea wapi tena kiongozi? Njoo ututajie gharama bana, tukate shauri.

Hivi kwa TZ itawezekana kweli ku track gari ilipo bila kuwa na refenced ramani za mitaa? Nina hamu sana kuona hili........

Taja bei nikurukie hewani sasa hivi uniunganishie
 
kASEPA!
Kwanini ukiombwa bei unakimbia mkubwa, wakati umesema unataka upewe maswali na ujibu??
 
Gharama yake ni us$280, hakuna malipo ya mwezi wala ya mwaka ukishaweka ni yako tayari
 
kASEPA!
Kwanini ukiombwa bei unakimbia mkubwa, wakati umesema unataka upewe maswali na ujibu??

gharama ni US$280, nipo na nitawapa maelezo kadiri mtakavyohitaji
 
pia lazima kutakuwa na malipo ya kila mwezi apart from device and installations

hakuna malipo yoyote kwa ajili ya huduma hiyo mara baada ya kuweka katika gari yako
 
ntapata sms kwenye simu yangu kuwa gari imewashwa au imezimwa kutoka kwenye mtandao upi? Tuthibitishie kama hamna monthly charges
 
huduma nimeipenda na nipo tayari kuanza kuitumia lakini gharama na natamani kuitumia lakini naomba kujua gharama kabla sijainua simu yangukukupigia

gharama ni US$280, na haina malipo mengine yoyote zaidi ya hayo kwetu
 

mmh,

inawza kuwa nzuri ila inahitaji kufkiri sana kabla ya kuingia, kwamaan kama unasema no malipo ya maramoja. unahitaji ushawishi wa nani anawajibika ikiwa system haitafanya kazi baada ya kununua huduma?

inahitaji makubaliano yenye kuangalia mambo mengi kabla ya kununua aina hii ya huduma
 
ntapata sms kwenye simu yangu kuwa gari imewashwa au imezimwa kutoka kwenye mtandao upi? Tuthibitishie kama hamna monthly charges

mkuu nitafute kwenye namba ya simu 0714890018, kifaa kinatumia simcard ya kampuni yoyote ya mawasiliano, gharama yake zaidi ya hapo ni hela utakayoweka kwenye hiyo line tena utaweka wewe mwenyewe, na hizo kazi zote zitafanyika kutokana na utakavyopenda na kulingana na matumizi yako unayohitaji
 
Please naomba utueleze hiyo tracker itakuwa based kwenye principle gani
kama ni satelite based (GPS)lazima kuwe na monthly payment na hizo speed sensors zitakuwa zinatuma sms from which account? Plz be serious
gharama ni US$280, na haina malipo mengine yoyote zaidi ya hayo kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…