Hiyo kujua ni kubahatsha bahatisha tu . Na hata kubahatsha lazima uwe mkali wa machine language. Unaweza kusaka nyenzo mtandaoni za kusoma dump file.
Hapo sio cracking tu inabidi ujue mashine language (Hardware level ) Ambayo hata maprogrammer wakali wa sasa wengi hawajaui na wanatumia nyenzo
Mfano Microsoft wana Nyenzo ya hii.
Debugging Tools for Windows 32-bit Version