UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

Joined
Oct 5, 2025
Posts
32
Reaction score
201
Wakuu,

Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha azimio linalotambua biashara ya utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya ubinadamu, hatua iliyopigiwa kura 123 za kuunga mkono.
Katika kura hiyo, nchi tatu, Argentina, Israel na Marekani zilipinga, huku nchi 52 zikijizuia kupiga kura.

Soma pia: Huko Umoja wa Mataifa Tanzania ni Wasindikizaji tu

Akizungumza kabla ya upigaji kura huo, Rais wa Ghana, John Dramani Mahama, alisema azimio hilo lina lengo la kuthibitisha ukweli na kufungua njia ya uponyaji pamoja na haki ya fidia, kwa niaba ya Kundi la Afrika lenye wanachama 54 ndani ya Umoja wa Mataifa.

Kwa zaidi ya miaka 400, mamilioni ya Waafrika walichukuliwa kwa nguvu, kufungwa minyororo na kusafirishwa kwenda katika ulimwengu mpya kufanya kazi ngumu kwenye mashamba ya pamba, miwa na kahawa chini ya mateso makubwa ambapo pia walinyimwa haki zao za msingi, hata majina yao, na kulazimishwa kuishi katika mfumo wa unyonyaji

Azimio hilo linaeleza kuwa biashara ya utumwa wa Waafrika na mfumo wa kuwafanya mali ni miongoni mwa uhalifu mkubwa zaidi dhidi ya ubinadamu, kutokana na ukubwa wake, muda wake, ukatili wake na madhara yake yanayoendelea kuathiri maisha ya watu hadi sasa.

UN.png


=============== For English Audience ==============​

The resolution spearheaded by Ghana received 123 votes in favour. Three countries – Argentina, Israel and the United States – voted against and 52 abstained.

“Today, we come together in solemn solidarity to affirm truth and pursue a route to healing and reparative justice,” said Ghana’s President John Dramani Mahama, speaking ahead of the vote on behalf of the 54-member African Group – the largest regional bloc at the UN.

For more than 400 years, millions of people were stolen from Africa, put in shackles and shipped to the New World to toil in cotton fields and sugar and coffee plantations under scorching heat and the crack of the whip.

Denied their basic humanity and even their own names, they were forced to endure generations of exploitation with repercussions that reverberate today including persistent anti-Black racism and discrimination.

The resolution emphasised “the trafficking of enslaved Africans and racialised chattel enslavement of Africans as the gravest crime against humanity by reason of the definitive break in world history, scale, duration, systemic nature, brutality and enduring consequences that continue to structure the lives of all people through racialized regimes of labour, property and capital.”

Source: United Nations
 
So USA na Israel and Argentina wamepinga !?


Kwamba huo sio ukatili Kwa binaadamu!?

Halafu bado Kuna walokole wanasema Israel ni Taifa la mungu !?

Yaani wanapinga kwamba ule sio ukatili wa kibinaadamu mean while wanajifanya wanapinga human trafficking Na kujifanya wanasimamia haki za binaadamu Aaaghh Dunia imejaa unafiki sana 🙌🙌😄
 
Hiyo ni hatua ya kwanza, hatua ya pili ni kudai fidia. Kuna kipindi mkutano ulifanyika Afrika Kusini kuhusu kudai fidia baadhi ya nchi zikavuruga kwa makusudi kuingiza swala la Palestina na Israel kwa sababu ya mitazamo yao ya kidini.
Argentina wanajua walichofanya dhidi ya waafrika wana hofu likija swala la fidia watalipa pesa nyingi.
Hapo ndio tutajua kama Oman ni ndugu zetu.
 
So USA na Israel and Argentina wamepinga !?


Kwamba huo sio ukatili Kwa binaadamu!?

Halafu bado Kuna walokole wanasema Israel ni Taifa la mungu !?

Yaani wanapinga kwamba ule sio ukatili wa kibinaadamu mean while wanajifanya wanapinga human trafficking Na kujifanya wanasimamia haki za binaadamu Aaaghh Dunia imejaa unafiki sana 🙌🙌😄
Walokole ni watu wa ajabu sana , kiufupi Dini hizi zimeharibu bongo za watu yaani hasa hasa sisi tumbili weusi
 
So USA na Israel and Argentina wamepinga !?


Kwamba huo sio ukatili Kwa binaadamu!?

Halafu bado Kuna walokole wanasema Israel ni Taifa la mungu !?

Yaani wanapinga kwamba ule sio ukatili wa kibinaadamu mean while wanajifanya wanapinga human trafficking Na kujifanya wanasimamia haki za binaadamu Aaaghh Dunia imejaa unafiki sana 🙌🙌😄
Labda USA imenusa harufu la kuombwa misaada kufidia utumwa wa mababu.
 
Viongozi wenyewe wa Afrika wamewafanya raia huru wa nchi zao kuwa mateka. Wanaishi kifahari. Wanajimegea mapande makubwa ya keki ya taifa kwa manufaa ya wao wachache na marafiki wao.

Viongozi wa kiafrika hawajali nchi zao kuwa na huduma bora za afya, elimu, mazingira bora kwa wakulima, wavuvj, wafugaji hakuna ila viongozi hao wa kiafrika wanatibiwa Ulaya, Marekani na Asia. Wanatumia kodi za wananchi kununua magari ya bei mbaya ya kifahari huku wakiwarushia maji wanapopita barabarani, hawatumii usafiri wa umma wa mabasi au reli kwa kuwa wameiba uchaguzi

Viongozi wa kiafrika wapo mstari wa mbele kuua, kupoteza na kufunga wapinzani wao wa kisiasa

Viongozi wa kiafrika mali wanazopora, rushwa, ufisadi na majumba vyote wanajenga au kununua Paris, Dubai, Geneva n.k
 
So USA na Israel and Argentina wamepinga !?


Kwamba huo sio ukatili Kwa binaadamu!?

Halafu bado Kuna walokole wanasema Israel ni Taifa la mungu !?

Yaani wanapinga kwamba ule sio ukatili wa kibinaadamu mean while wanajifanya wanapinga human trafficking Na kujifanya wanasimamia haki za binaadamu Aaaghh Dunia imejaa unafiki sana 🙌🙌😄
Waarabu waliohasi watumwa wanaume ili wasizae utumwani wenyewe wamesemaje.!!??
 
Wazayuni weusi wakiongozwa na echolima Echolima kizee cha hovyo huu uzi watapita kama hawauoni

Sio icho tu wamekalilishwa kuwa Biashara ya Watumwa imefanywa na
Waarabu sasa kipo wapi 🤠🤠

wkt UN wanajua wausika ni Marekani UK Israel.!!!!!

ISRAEL inahusika kwasababu ukiwachunguza wausika kutoka UK na wale wa Marekani utagundua wote ni Wazayuni.!!!

Ndio Familia zao izo zenye fedha Ukwasi wa kutisha ndio wamechangia kuisukuma UN Ulaya USA UK kuundwa kwa Taifa la Israel Ya leo!!!
 
Waarabu waliohasi watumwa wanaume ili wasizae utumwani wenyewe wamesemaje.!!??

Ndio propaganda za Kanisa Dhidi ya Mwaraabu na UISLAM !!!!

lkn zama uwongo zinaenda kukwama son tu!!!

Waliojificha na kutunga historia ya TZ walikuwa waumini wa YESU. Sasa unategemea nini apo!!!!!

Kwasasa wameumbuka historia yao itabaki TZ kuwadanganya Wadanganyika lengo kuu kumsaidia YESU TZ 🤠🤠🤠

na kuwatupia kashfa Waraabu na UISLAM wao !!!!

Lkn wapiiiiii bado Dini ya Haki imepasua kwenye vichaka vya njama ya waovu yani YESU kabebwa na kikundi kwa kudanganya wa Tz. Kwenye historia 🥳🥳🥳


hakuna Azimio lolote la UN limewai kuwataja Waraabu popote kwenye iyo kashfa!!

zaidi ni Wazungu miungu yenu,
 
Sisi watu weusi MZUNGU katutendea Unyama mwingi na bado anatutendea Unyama!!!

1 ) Ubaguzi wa langi !!
zao la MZUNGU

2) Kumfanya mtu mweusi kumsujudia Mzungu zao la MZUNGU !!

3) Kumfanya mtu mweusi yani langi nyeusi kuonekana kama laana kwenye Vitabu vya Dini ya Ukristo nizao la MZUNGU!!

4) Ushoga zao la MZUNGU Duniani kote wanausika kuzambaza Ushoga kuwatetea Mashoga !!

5) kulazimisha wengine
wautangaze Ushoga zao la WAZUNGU!!

6)
UTUMWA Duniani ni zao la Wazungu !!!

7) Israel imeanzishwa mwaka 1948 kwa msaada wa Matajiri wakubwa wa kizayuni pesa zao zilizotokana na Biashara ya Utumwa ya watu Weusi..😥😥😥
 

Attachments

  • 1772757880575.png
    1772757880575.png
    78.2 KB · Views: 1
  • VID-20260307-WA0081.mp4
    3.4 MB
Waarabu waliohasi watumwa wanaume ili wasizae utumwani wenyewe wamesemaje.!!??
Acha uongo mbona jamii za weusi ni nyingi sana kuanzia Saudia hadi Iraq!! Mbona simple google search tu ingekuondolea hii aibu
 
Back
Top Bottom