nyinyi si mfanye lolote karibu na hili, kukashif tu, lini mtakuwa na kitu hata kama nini vile mnasema kiwe na uhusiano na nchi yenu?? Tuna copy, ni sawa, nyinyi ipi mmejaribu kuiga??
Remember China grew by copying and now it produces its on.
So let us copy, before nyinyi muanze kukopi, we will be producing.
Do not worry, sisi tunacopi muamerica nyinyi mtatukopi!!