Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa(UN), António Guterres amesema suala la afya ya akili halijatiliwa maanani kwa muda mrefu sana
Mwezi Mei ni mwezi wa Afya ya Akili hivyo ametoa wito kuwa kunahitajika uwekezaji katika miundombinu ya afya ya akili ili kukabiliana na shida hii inayosababisha matukio mengi duniani
Magonjwa ya akili ni pamoja na Sonona, Msongo wa Mawazo ambayo mara nyingine hupelekea watu kujioa
Mwezi Mei ni mwezi wa Afya ya Akili hivyo ametoa wito kuwa kunahitajika uwekezaji katika miundombinu ya afya ya akili ili kukabiliana na shida hii inayosababisha matukio mengi duniani
Magonjwa ya akili ni pamoja na Sonona, Msongo wa Mawazo ambayo mara nyingine hupelekea watu kujioa