UN itupie macho biashara ya binadamu nchini Tanzania.

UN itupie macho biashara ya binadamu nchini Tanzania.

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,453
Reaction score
283,788
Kumnunua binadamu yoyote kwa sababu zozote zile haikubaliki na ni udhalilishaji wa kiwango cha juu sana .

Kama UMOJA WA MATAIFA ulivyolivalia njuga suala hili nchini Libya , basi si vibaya ikaangalia nchini Tanzania pia , upo ushahidi kwamba kuna mazingira ya kununuliwa kwa baadhi ya binadamu hasa wanasiasa nchi Tanzania , kwa kadiri ninavyofahamu mtu yeyote anayekubali kununuliwa ni sawa na Mtumwa .

Ni matumaini yangu UN italishughulikia jambo hili linalofedhehesha utu wa Mtanzania.

Natanguliza shukrani .
 
Kumnunua binadamu yoyote kwa sababu zozote zile haikubaliki na ni udhalilishaji wa kiwango cha juu sana .

Kama UMOJA WA MATAIFA ulivyolivalia njuga suala hili nchini Libya , basi si vibaya ikaangalia nchini Tanzania pia , upo ushahidi kwamba kuna mazingira ya kununuliwa kwa baadhi ya binadamu hasa wanasiasa nchi Tanzania , kwa kadiri ninavyofahamu mtu yeyote anayekubali kununuliwa ni sawa na Mtumwa .

Ni matumaini yangu UN italishughulikia jambo hili linalofedhehesha utu wa Mtanzania.

Natanguliza shukrani .
Mtumwa akinunuliwa pesa inakwenda kwa MASTER...hawa wanasiasa unaosema WANANUNULIWA pesa innakwenda mifukoni kwao. Huku sio kununuliwa kama watumwa huku ni kuhongwa.
 
Mtumwa akinunuliwa pesa inakwenda kwa MASTER...hawa wanasiasa unaosema WANANUNULIWA pesa innakwenda mifukoni kwao. Huku sio kununuliwa kama watumwa huku ni kuhongwa.
Tusipuuze , tuitishe uchunguzi huru na UN itusaidie .
 
Wanajinunua wenyewe kwa wenyewe halafu wanashangilia,Hon Nyalandu aliwauma sana hawa vibaka
 
Wanajinunua wenyewe kwa wenyewe halafu wanashangilia,Hon Nyalandu aliwauma sana hawa vibaka
Halafu inasemekana mpaka sasa hakuna waliyemnunua wa hadhi ya Nyalandu
 
Wanasisa wanananunuliwa
Dunia nzima
 
Back
Top Bottom