UN has rejected Doctor's (MAT) Request

Kama wewe ni daktari nitashangaa hiyo huruma kwa wagonjwa inaingiaje sasa na wakati huu!
Si mmegoma?
Mmemgomea nani, JK au wagonjwa?
You look like a confused lot, kwa hiyo huruma kwa wagonjwa kwako inakuja baada ya matakwa ya mgomo wako kutekelezwa?
Ndio maana nasisitiza that we do not miss you quack doctors, mercenary practitioners, in fact we all wish you would all go away.

Kukushauri kuomba msamaha ni ushauri tu, take it or leave it.
 
Ni kweli hauhitaji madaktari?huwa unatibiwa wapi wewe na familia yako?sidhani kama unafahamu haki zako za msingi na wajibu wa serikali kwako wewe mwananchi
Mkuu kwa madaktari hao wanaogoma kama vibaka, I do not miss them, in actual fact I can live without them.
 
Hao madaktari Interns imeshakula kwao, mkono wa serikali ni mrefu ila JK aliamua kuwa muungwana madaktari walipokataa kuongea na Pinda akawaita Ikulu ingawa rais alifahamu kwamba hamtendei haki mtoto wa mkulima.

Madaktari walipomkataa Blandina akaondolewa, Nkya akatolewa pale, Mponda akatolewa.Mwisho wa siku wanaibuka na mgomo mwengine. Rais amewachoka kw madai yenu yasiyo kichwa wala miguu.

Nendeni mahakamani mkapinge kunyang'anywa leseni japokuwa mlikaidi amri ya mahakama kusitisha mgomo lakini mahakama ni ya wote. Na mkirudishiwa hizo leseni ni 5 yrs zimepita mshasahau hata kuchoma sindano.
 

wewe ndio umesoma sana kuliko madoktaa au sio
ha ha ha ha ha ha ha
Ringa basi.......
 
Kweli akili ni nywele!Madaktari vijana hawasababishi wakina mama wajawazito kulala mzungu wa pili pale Amana na Temeke!Hawapunguzi budget ya afya kila mwaka toka 2009,Hawanunui vifaa kazi wala madawa!Wala hawasababishi CT scan kuwa mbovu miezi 7 sasa!Hebu peleka lawama kunako stahili.
Thinking is a very tedious process thats why so few people engage in it!
Tafakari.
 
Kaka naomba nikukosoe. Madaktari wa kitanzania sio kweli kwamba hawana uelewa wa fani yao...one thing I can tell you medical practice sio sawa sawa na journalism au law au political science kwamba utarefer tu kwenye vitabu na ukapiga kazi .medical practice requires technology kuanzia diagnostic to treatment, requires medical supplies, space ya kulaza wagonjwa atc.

Huwezi msaidia mgonjwa wakati unamruka na kumkanyaga kwenye sakafu, hauna oxygen tanks, au unamuandikia dawa hana hela ya kununua mwezi mzima....and so forth.

Katika hali kama hiyo kwa ukosefu wa yote niliyotaja hapo juu lazima wagonjwa wenye compliacted cases waende nje ya nchi kwa vile system yetu ya nchi imeshindwa kuweka hizo facilities and equipments in place...

I hope hii itakuweka sawa mdau.

Kuna aja ya kuwa na jitihada za pekee from community tena sio serikali kuwezesha huduma za afya...yaani hata style ya harambee itahitajika hapa kwa vile serikali wazi inaonekana kulemewa na kushindwa ....
 
madoctor imekula kwao! serikali inamkono mrefu jamani! na najua tunalijua ilo<sema tunabishana tu humu ndani kwa hulka zetu za kisiasa! ila ngoja tuone

Haijala kwao...wewe uliamini kabisa kuwa maDaktari wanaomba kwa dhati ulinzi wa UN?!

Kulikuwa kuna lengo kubwa zaidi ya hilo...nalo limetimia, kwa hiyo haijala kwa maDaktari!

Lengo hili kubwa lilikuwa ni kuipa issue ya kuteswa kwa Dr Ulimboka international (UN) attention. Balieve me, for that simple request, this issue was hinted to UN Secretary General. Na imekuwa filed kwenye UN documents as a formal complaint...hata kama wamekataa kutoa huo ulinzi. Vizazi na vizazi vijavyo vitajua kupitia UN documents kuwa kuna mtu anaitwa Dr Ulimboka huko Tanzania alifanyiwa kitu mbaya na prime suspects are government agents..and UN was formally informed and asked to help!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…