Kwa wiki za mwanzoni unanyeshea asubuhi au jioni tu, ila litaanza kutambaa na kutoa tuna ukubwa wa ngumi utanyeshea asubuhi na jioni kila siku, usiponyeshea utavuna yenye umbo dogo sana, weka kichwani ukubwa wa tikiti ni mbolea dawa na maji ya kutosha, ndo maana ukila tikiti asilimia kubwa ni maji maana yake yalimwagiwa maji ya kutosha
kumbuka tikiti ni maji ndo maana linaitwa tikiti maji
dawa husaidia ni muhimu na mbolea hasa ya kuku au ya viwandani kwa kila wiki
Asante Sana mkuu.
Nimefurahi lakini ni mbinu ipi ya umwagiliaji? Kwa kumwaga na pipe ya pump kama vitunguu? Matunda yakitokea haina effect kwayo?
Asante