umuhimu wake n nn?

umuhimu wake n nn?

Asu tz

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2011
Posts
336
Reaction score
86
Habar wana JF

Samahan wakuu mm sio mtaalaam sana wa maswala haya ya IT nilikuwa napenda kuuliza JE NINI UMUHIMU wa kuweka BACK UP kwny computer?

Msaada tafadhal..........
 
In case of system crush you have your back up to help u move on and pick up where u left off.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
..nilikuwa napenda kuuliza JE NINI UMUHIMU wa kuweka BACK UP kwny computer?

Nadhani hekimatele ameeleza kifupi na kwa ufasaha umuhimu wa backup kwenye computer.

Computer kama ilivyo vifaa vingine zinaweza haribika, kuteketea kwenye moto au kuibiwa, sasa kama una nyaraka zako muhimu ina maana zitakua zimepotea. Lakini kama ulikua na mpango mzuri wa kuhifadhi vitu vyako, shughulu zako hazitaathiriwa kwa kiasi kukubwa sana.

Chukulia mfano jengo limeungua na palikua na ofisi, taarifa mbalimbali za wateja, waajiriwa, mishahara, mikataba mbalimbali imeungua kwenye hizo kompyuta na hazikua zimehifadhiwa sehemu nyingine mbadala, madhara yake yatakua makubwa sana.

Umuhimu mwingine ni kutimiza matakwa ya kisheria, hii ipo kwa makampuni. Yanatakiwa yawe na effective backup strategy
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Asu tz ushalifahamu hili haya usisahau na kwenye Cmu yako maana hapo ndio inakuwaga utata ikigoma au isopokuweko mkononi mwako.
 
Shukran wakuu
Swal jingine n hv jE backup naweza kuhifadh kwenye cd (burning cd)?
 
backup katika computer in maana zifuatazo
1:ku copy data zako (user data ) kama unataka kufanyia repair au unahisi computer yako inataka ku-crash so unazikopi katika storage device nyingine au ku-copy data ulizozifanyia recovery
2:unaweza kufanya backup ya system(system settings and drives) so itakusaidia kupata restoring point kama machine yako italeta matatizo kama
 
Shukran wakuu
Swal jingine n hv jE backup naweza kuhifadh kwenye cd (burning cd)?

Inategemea na ukubwa wa hizo data zako. CD zinatofautiana uwezo wa kuchukua data. Kuna za 700 MB, 800 MB na DVD ambazo zinachukua data nyingi zaidi.
 
Back
Top Bottom