Umuhimu wa kuwa na leseni ya biashara

Umuhimu wa kuwa na leseni ya biashara

youngkato

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
3,698
Reaction score
3,741
Unataka biashara yako itambulike kisheria, iaminike na ufanye biashara yako bila wasiwasi? Basi LESENI YA BIASHARA ni kitu cha lazima kwa mafanikio yako!
umuhimu wa resen thumbnail.png


Na kwa sasa TUNAKUPA OFA YA KUPATA LESENI KWA HARAKA NA GHARAMA NDOGO SANA

Kwa nini Leseni ya Biashara ni Muhimu?​

1. Unatambulika kisheria​

Hakuna tena hofu ya kufungiwa au kuandamwa na mamlaka.

2. Unaepuka usumbufu wa kufungiwa biashara​

Kaa mbali na adhabu zisizo za lazima.

3. Unafunguliwa milango ya zabuni, tender & fursa za kiserikali​

Hakikisha biashara yako ina sifa ya kushiriki.

4. Ni nyaraka muhimu unapotafuta mkopo​

Benki na taasisi za fedha huamini biashara iliyo na leseni.

5. Inahitajika kufungua akaunti ya biashara benki​

Hakikisha fedha zako ziko salama na zimetenganishwa na matumizi binafsi.

6. Wateja wanakuamini zaidi​

Leseni ni alama ya uhalali, uaminifu, na ubora.

Tunasimamia mchakato mzima hadi upate cheti halali!

Tunahakikisha haufanyi makosa yanayokugharimu mara mbili!

Malipo ya serikali (Control Number) utatumiwa moja kwa moja unalipia mwenyewe kwa uwazi.

Unahitaji nini?​

– Kitambulisho cha NIDA tu!

📍 Tupo Mwanza – Mkolani, lakini tunakuhudumia popote ulipo Tanzania!

📞 Piga/WhatsApp:

📲 +255 693 880 325
 
Na bado mtachanganyikiwa tu ...tangaza unafanya hio kazi kwanbei gani ...alafu MTU lazima awe na tax clearence...MTU ambaye ameweza kufungua ukurasa wa jamii forum hawezi kushindwa kuomba leseni ya biashara...Cha kufanya NI kumpa jukwaa tu..@tausiportal...
 
Back
Top Bottom