Kama ilivyo kwa binadamu na wanyama pale unapokula chakula chenye virutubisho bora na vivyo hivyo mwili wako unvyozid kunawiri vizuri, je? Ili mimea ikue vzr inahitaj nini? Jibu liko wazi kuwa kilichopo kwenye udongo ndio sabab tosha ya kuufanya mmea uote vzr na uweze kutoa mazao/matunda yenye ubora na afya nzr pamoja vitu vingine kama maji na mwanga
Sasa basi *Green agriculture* tunatoa huduma bora ya kupima udongo na kukupa ushaur juu ya utunzaji Wa mimea na utumiaji Wa mbolea ili uweze kupata mazao bora
Pia wasiliana nasi kwa number zifuatazo
*Engineer Lasway* 0763347985/0673000103
*Agronomist Boniface* 0719880905/0756800419
Picha ya chini inaonyesha parameters tunazopima
Karibuni sana
Elf 80 per acre kwa project kubwa 5+ acres na laki moja kwa project ndogo
Hyo ni gharama ya sisi kuja shamban kuchukua udongo na kuupima pamoja na report
Elf 80 per acre kwa project kubwa 5+ acres na laki moja kwa project ndogo
Hyo ni gharama ya sisi kuja shamban kuchukua udongo na kuupima pamoja na report