Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,111
Hii ungeipost jukwaa la wagagagikoko.
UpoMwenye kamusi naazima
Watu Wanaweza Kuwa Hawaelewi Kumbe Ni Chama Kubwa (Chaputa)Nadhani ni kupiga punyeto (kwa wanaume na wanawake)
Tangu kiwe lugha ya 4 sadc tutashuhudia maneno hata bibi hajaongea ila tupokee ukubwa jaaa bwanaKiswahili kinakua kwa kasi sana, ukitaka kuamini yakinisha matumizi ya simu yako sehemu zote kwa kiswahili ndipo uone hata uzalendo wako na shule juu bado tu utaomba poo [emoji4]
Ukimaliza utasema nimenyululwaHebu nianze rasmi kunyulula
Nipo mkuu
Hebu nianze rasmi kunyulula
Safi Sana ,nyie ndio wazito wa humu ,msipoonekana inaleta hofu kdgNipo mkuu
🤣🤣🤣🤣I am here just aside you.[emoji1787][emoji1787]
.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
tunatumia na sisiMwenye kamusi naazima
Ndo maana yake?We jamaa utakuwa mruka ukuta tuu,.
Kikabila letu😎Ndo maana yake?
OkKikabila letu[emoji41]