Samily de cruze
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 230
- 683
Hellow wana JF nilikuwa naomba tueleweshane na kujuzana kuhusu ili.
Tukiangalia Tanzania inazidi kujua ila na kauli mbiu ya Tanzania ya viwanda sasa swali langu lipo hapa.
Hivi kwa mtu anayesoma Business Administration anakuwa na kazi gani katika kampuni na je kozi hii umuhimu wake ni upi na kama ina umuhimu elimu yake unatakiwa iwe ya kiwango gani bila kusahau qualification za kusoma hii kozi.
Tusaidiane kimawazo maana najua kaka na dada zangu mliopo hapa ndani mna uwezo na wengi mmepitia elimu na mnatambua vizuri kuhusu haya.
ASANTE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiangalia Tanzania inazidi kujua ila na kauli mbiu ya Tanzania ya viwanda sasa swali langu lipo hapa.
Hivi kwa mtu anayesoma Business Administration anakuwa na kazi gani katika kampuni na je kozi hii umuhimu wake ni upi na kama ina umuhimu elimu yake unatakiwa iwe ya kiwango gani bila kusahau qualification za kusoma hii kozi.
Tusaidiane kimawazo maana najua kaka na dada zangu mliopo hapa ndani mna uwezo na wengi mmepitia elimu na mnatambua vizuri kuhusu haya.
ASANTE.
Sent using Jamii Forums mobile app
