PreGE2025 Umuhimu wa kila mtanzania kushiriki kupiga kura

PreGE2025 Umuhimu wa kila mtanzania kushiriki kupiga kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Irene17

Member
Joined
Feb 8, 2025
Posts
42
Reaction score
115
Kupiga kura ni haki ya kikatiba inayomwezesha kila Mtanzania kushiriki katika maamuzi ya nchi kwa njia ya amani, kupitia kura wananchi huamua ni nani awaongoze katika nafasi za kisiasa kama Rais, Wabunge na Madiwani na hii ni njia halali ya kushiriki katika ujenzi wa taifa na kuhakikisha kuwa sauti ya wananchi inasikika.

Ni wajibu wa kiraia kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura kuhakikisha anatumia haki hiyo, kutojitokeza kupiga kura ni kuruhusu watu wengine kufanya maamuzi kwa niaba yako, jambo linaloweza kusababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasiowatumikia wananchi ipasavyo.

Wananchi wanapojitokeza kwa wingi kupiga kura, wana nafasi ya kuchagua viongozi waadilifu na wenye uwezo wa kuleta maendeleo, Kupitia kura matatizo ya huduma duni za jamii kama elimu, afya na maji yanaweza kushughulikiwa kwa kuchagua viongozi wanaojali maendeleo ya wananchi.

Aidha, kupiga kura huimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora, inawafanya viongozi walioko madarakani kuwajibika kwa wananchi wakijua kuwa wanaweza kuondolewa kwa kura iwapo hawatatimiza ahadi zao.

Kila Mtanzania anapaswa kutambua kuwa kura yake ni sauti yake na anatakiwa kuwajibika ifikapo Oktoba Ili taifa lipige hatua, kila mwananchi mwenye sifa anapaswa kujitokeza kwa hiari na kwa wingi kushiriki katika uchaguzi kwa kupiga kura kwa amani na utulivu.


#OktobaNawajibika
#OktobaTunatiki
#KuraYanguSautiYangu
 
Kupiga kura ni haki ya kikatiba inayomwezesha kila Mtanzania kushiriki katika maamuzi ya nchi kwa njia ya amani, kupitia kura wananchi huamua ni nani awaongoze katika nafasi za kisiasa kama Rais, Wabunge na Madiwani na hii ni njia halali ya kushiriki katika ujenzi wa taifa na kuhakikisha kuwa sauti ya wananchi inasikika.

Ni wajibu wa kiraia kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura kuhakikisha anatumia haki hiyo, kutojitokeza kupiga kura ni kuruhusu watu wengine kufanya maamuzi kwa niaba yako, jambo linaloweza kusababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasiowatumikia wananchi ipasavyo.

Wananchi wanapojitokeza kwa wingi kupiga kura, wana nafasi ya kuchagua viongozi waadilifu na wenye uwezo wa kuleta maendeleo, Kupitia kura matatizo ya huduma duni za jamii kama elimu, afya na maji yanaweza kushughulikiwa kwa kuchagua viongozi wanaojali maendeleo ya wananchi.

Aidha, kupiga kura huimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora, inawafanya viongozi walioko madarakani kuwajibika kwa wananchi wakijua kuwa wanaweza kuondolewa kwa kura iwapo hawatatimiza ahadi zao.

Kila Mtanzania anapaswa kutambua kuwa kura yake ni sauti yake na anatakiwa kuwajibika ifikapo Oktoba Ili taifa lipige hatua, kila mwananchi mwenye sifa anapaswa kujitokeza kwa hiari na kwa wingi kushiriki katika uchaguzi kwa kupiga kura kwa amani na utulivu.


#OktobaNawajibika
#OktobaTunatiki
#KuraYanguSautiYangu
Vipi kama mazingira yakupiga kura yakawa hayajaniridhisha natakiwa nifanye nini...?
 
Kupiga kura ni haki ya kikatiba inayomwezesha kila Mtanzania kushiriki katika maamuzi ya nchi kwa njia ya amani, kupitia kura wananchi huamua ni nani awaongoze katika nafasi za kisiasa kama Rais, Wabunge na Madiwani na hii ni njia halali ya kushiriki katika ujenzi wa taifa na kuhakikisha kuwa sauti ya wananchi inasikika.

Ni wajibu wa kiraia kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura kuhakikisha anatumia haki hiyo, kutojitokeza kupiga kura ni kuruhusu watu wengine kufanya maamuzi kwa niaba yako, jambo linaloweza kusababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasiowatumikia wananchi ipasavyo.

Wananchi wanapojitokeza kwa wingi kupiga kura, wana nafasi ya kuchagua viongozi waadilifu na wenye uwezo wa kuleta maendeleo, Kupitia kura matatizo ya huduma duni za jamii kama elimu, afya na maji yanaweza kushughulikiwa kwa kuchagua viongozi wanaojali maendeleo ya wananchi.

Aidha, kupiga kura huimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora, inawafanya viongozi walioko madarakani kuwajibika kwa wananchi wakijua kuwa wanaweza kuondolewa kwa kura iwapo hawatatimiza ahadi zao.

Kila Mtanzania anapaswa kutambua kuwa kura yake ni sauti yake na anatakiwa kuwajibika ifikapo Oktoba Ili taifa lipige hatua, kila mwananchi mwenye sifa anapaswa kujitokeza kwa hiari na kwa wingi kushiriki katika uchaguzi kwa kupiga kura kwa amani na utulivu.
#OktobaNawajibika
#OktobaTunatiki
#KuraYanguSautiYangu
Naunga mkono hoja Thamani ya Kura Yako: Je Wajua Wewe Ndiye Mwajiri wa Rais wa JMT kwa Kura Yako na Kumlipa Mshahara Wake Yeye na Serikali Yake Yote kwa Kodi Yako?.
P
 
Kupiga kura ni haki ya kikatiba inayomwezesha kila Mtanzania kushiriki katika maamuzi ya nchi kwa njia ya amani, kupitia kura wananchi huamua ni nani awaongoze katika nafasi za kisiasa kama Rais, Wabunge na Madiwani na hii ni njia halali ya kushiriki katika ujenzi wa taifa na kuhakikisha kuwa sauti ya wananchi inasikika.

Ni wajibu wa kiraia kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura kuhakikisha anatumia haki hiyo, kutojitokeza kupiga kura ni kuruhusu watu wengine kufanya maamuzi kwa niaba yako, jambo linaloweza kusababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasiowatumikia wananchi ipasavyo.

Wananchi wanapojitokeza kwa wingi kupiga kura, wana nafasi ya kuchagua viongozi waadilifu na wenye uwezo wa kuleta maendeleo, Kupitia kura matatizo ya huduma duni za jamii kama elimu, afya na maji yanaweza kushughulikiwa kwa kuchagua viongozi wanaojali maendeleo ya wananchi.

Aidha, kupiga kura huimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora, inawafanya viongozi walioko madarakani kuwajibika kwa wananchi wakijua kuwa wanaweza kuondolewa kwa kura iwapo hawatatimiza ahadi zao.

Kila Mtanzania anapaswa kutambua kuwa kura yake ni sauti yake na anatakiwa kuwajibika ifikapo Oktoba Ili taifa lipige hatua, kila mwananchi mwenye sifa anapaswa kujitokeza kwa hiari na kwa wingi kushiriki katika uchaguzi kwa kupiga kura kwa amani na utulivu.


#OktobaNawajibika
#OktobaTunatiki
#KuraYanguSautiYangu
Mimi sipigi kura, maana sina haki ya kupigiwa kura pia.
Hakj ya kupiga kura lazima iende sambamba na haki ya kupigiwa kura isiyo kuwa na masharti ya kuwa kwenye chama cha siasa.
 
Kupiga kura ni haki ya kikatiba inayomwezesha kila Mtanzania kushiriki katika maamuzi ya nchi kwa njia ya amani, kupitia kura wananchi huamua ni nani awaongoze katika nafasi za kisiasa kama Rais, Wabunge na Madiwani na hii ni njia halali ya kushiriki katika ujenzi wa taifa na kuhakikisha kuwa sauti ya wananchi inasikika.

Ni wajibu wa kiraia kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura kuhakikisha anatumia haki hiyo, kutojitokeza kupiga kura ni kuruhusu watu wengine kufanya maamuzi kwa niaba yako, jambo linaloweza kusababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasiowatumikia wananchi ipasavyo.

Wananchi wanapojitokeza kwa wingi kupiga kura, wana nafasi ya kuchagua viongozi waadilifu na wenye uwezo wa kuleta maendeleo, Kupitia kura matatizo ya huduma duni za jamii kama elimu, afya na maji yanaweza kushughulikiwa kwa kuchagua viongozi wanaojali maendeleo ya wananchi.

Aidha, kupiga kura huimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora, inawafanya viongozi walioko madarakani kuwajibika kwa wananchi wakijua kuwa wanaweza kuondolewa kwa kura iwapo hawatatimiza ahadi zao.

Kila Mtanzania anapaswa kutambua kuwa kura yake ni sauti yake na anatakiwa kuwajibika ifikapo Oktoba Ili taifa lipige hatua, kila mwananchi mwenye sifa anapaswa kujitokeza kwa hiari na kwa wingi kushiriki katika uchaguzi kwa kupiga kura kwa amani na utulivu.


#OktobaNawajibika
#OktobaTunatiki
#KuraYanguSautiYangu
Wakatowe tshirt na pombe huko vijijini
 
Kumekuwa na genge la kihuni la kutekwa watu...kiasi kwamba kushiriki shughuli za kimkusanyiko katika jamii inakuwa ni hatari. Maana hujui kama una kosa Wala hujui kama unatafutwa na hujui kwamba unahitajika kuuawa...hapo ndipo Hilo zoezi zinaonekana halina umuhimu kabisa. Muhimu ni uzima wako tu na anayejua umuhimu wa uzima wako ni wewe mwenyewe na Mungu wako wa Mbinguni
 
Mbona kama umeziba masikio husikii no reform no election mjuba? Wananchi wanataka kupiga kura kwenye uchaguzi ulio huru na wa haki. Utapigaji kura kwenye uchaguzi uliojaa abrakadabra nyingi, si bora ukae nyumbani chama tawala kijiamulie uchaguzi wake kuliko kwenda kupoteza muda kwenye sanduku la kupiga kura?
 
Kupiga kura ni haki ya kikatiba inayomwezesha kila Mtanzania kushiriki katika maamuzi ya nchi kwa njia ya amani, kupitia kura wananchi huamua ni nani awaongoze katika nafasi za kisiasa kama Rais, Wabunge na Madiwani na hii ni njia halali ya kushiriki katika ujenzi wa taifa na kuhakikisha kuwa sauti ya wananchi inasikika.

Ni wajibu wa kiraia kwa kila mwenye sifa ya kupiga kura kuhakikisha anatumia haki hiyo, kutojitokeza kupiga kura ni kuruhusu watu wengine kufanya maamuzi kwa niaba yako, jambo linaloweza kusababisha kuchaguliwa kwa viongozi wasiowatumikia wananchi ipasavyo.

Wananchi wanapojitokeza kwa wingi kupiga kura, wana nafasi ya kuchagua viongozi waadilifu na wenye uwezo wa kuleta maendeleo, Kupitia kura matatizo ya huduma duni za jamii kama elimu, afya na maji yanaweza kushughulikiwa kwa kuchagua viongozi wanaojali maendeleo ya wananchi.

Aidha, kupiga kura huimarisha misingi ya demokrasia na utawala bora, inawafanya viongozi walioko madarakani kuwajibika kwa wananchi wakijua kuwa wanaweza kuondolewa kwa kura iwapo hawatatimiza ahadi zao.

Kila Mtanzania anapaswa kutambua kuwa kura yake ni sauti yake na anatakiwa kuwajibika ifikapo Oktoba Ili taifa lipige hatua, kila mwananchi mwenye sifa anapaswa kujitokeza kwa hiari na kwa wingi kushiriki katika uchaguzi kwa kupiga kura kwa amani na utulivu.


#OktobaNawajibika
#OktobaTunatiki
#KuraYanguSautiYangu
Tunahitaji TUME ambayo wajumbe wake hawatokani na Rais
 
Back
Top Bottom