fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,425
- 7,975
Nyie wanaume kuumbukeni kila ubaya umtendao mwanamke, na mnakuja hapa kujisifu kuwa umempakua demu, umemla jicho, umempa mimba ukamtelekeza, ndivyo hivyo hivyo mwanao wa kike atakavyotendwa.
ni za mapenzi but zote ni positiveKwanini trending threads zote ni za mapenzi 24/7?!
na wayasikie kwa masikio mapanaAmbao huwa mnayatenda haya, mmesikia?
Sasa kwani kisa ni mwanao ndio asitumike kama chombo ya starehe na wanaume wengine🤣🤣🤣🤣Nyie wanaume kuumbukeni kila ubaya umtendao mwanamke, na mnakuja hapa kujisifu kuwa umempakua demu, umemla jicho, umempa mimba ukamtelekeza, ndivyo hivyo hivyo mwanao wa kike atakavyotendwa.
Upumbavu huu, nani kakuambia wanawake ni playing toy's za wanaume?,Mawazo ya kishetani na kujifanya waumini wa Mwenyezi MunguSasa kwani kisa ni mwanao ndio asitumike kama chombo ya starehe na wanaume wengine🤣🤣🤣🤣
Acheni uboya wee ukizaa mtoto wa kike tambua kuwa wanaume wengine watamchukulia kama chombo cha starehe tuu.
Mzab hapa tafsiri yako kwa neno Chombo cha starehe ni ipi? Mana hapa kama umeniacha hivi.Sasa kwani kisa ni mwanao ndio asitumike kama chombo ya starehe na wanaume wengine🤣🤣🤣🤣
Acheni uboya wee ukizaa mtoto wa kike tambua kuwa wanaume wengine watamchukulia kama chombo cha starehe tuu.
Unaweza utende mema kwa mwanamke wako, na mwano akapigwa matukio ya hatari..!! Haya mambo, siyo kila wakati ni directly proportional, sometimes inakuwa inversely proportional..!!Nyie wanaume kuumbukeni kila ubaya umtendao mwanamke, na mnakuja hapa kujisifu kuwa umempakua demu, umemla jicho, umempa mimba ukamtelekeza, ndivyo hivyo hivyo mwanao wa kike atakavyotendwa.
Tatizo unawaza inavyotakiwa kuwa na si uhalisia ulivyo vichwani kwa watu..!!Upumbavu huu, nani kakuambia wanawake ni playing toy's za wanaume?,Mawazo ya kishetani na kujifanya waumini wa Mwenyezi Mungu
Mawazo ya utawala wa kidume, wakati huna uwezo wa kutengeneza pesa, mwanamke sio second citizen
HakikaUmesema kweli maana malipo ni hapa hapa huyo unayemtendea hayo ni mtoto wa mwenzio.
Ah mwananchiii kwema lakini?Mzab hapa tafsiri yako kwa neno Chombo cha starehe ni ipi? Mana hapa kama umeniacha hivi.
Ah sasa jamani wee mwanamke hela yake hakupi, akili kuendesha maisha watumia yako na ukiwa huna hela hakutaki. Sasa unadhani atakuwa more than a richs mans play toy kweli? Lets be realistic and stop being melodramatic just becoz u have a daughter. U having a daughter doesnt change the realities of life.Upumbavu huu, nani kakuambia wanawake ni playing toy's za wanaume?,Mawazo ya kishetani na kujifanya waumini wa Mwenyezi Mungu
jitahidi kuandika kiswahili tu,ukiandika kiingereza kibaya haifaiAh sasa jamani wee mwanamke hela yake hakupi, akili kuendesha maisha watumia yako na ukiwa huna hela hakutaki. Sasa unadhani atakuwa more than a richs mans play toy kweli? Lets be realistic and stop being melodramatic just becoz u have a daughter. U having a daughter doesnt change the realities of life.