Hemedy Jr Junior JF-Expert Member Joined Feb 17, 2023 Posts 918 Reaction score 1,099 Feb 22, 2023 #1 ✍ Tafiti zinasema unapofikisha umri wa miaka 60, 20 unakuwa umeitumia kulala na miaka 40 ndio uliyoitumia kwenye kufanya kazi. ✍ So tupige kazi maana ukilala utakuwa ona ongeza muda wa kulala. Imeandaliwa na ✍ Kimodomsafi
✍ Tafiti zinasema unapofikisha umri wa miaka 60, 20 unakuwa umeitumia kulala na miaka 40 ndio uliyoitumia kwenye kufanya kazi. ✍ So tupige kazi maana ukilala utakuwa ona ongeza muda wa kulala. Imeandaliwa na ✍ Kimodomsafi
Hannah JF-Expert Member Joined Aug 28, 2015 Posts 10,146 Reaction score 41,401 Feb 22, 2023 #2 Hemedy jr Junior said: SO TUPIGE KAZI MAANA UKILALA UTAKUWA ONA ONGEZA MUDA WA KULALA. Imeandaliwa na Kimodomsafi Click to expand... Kwahiyo ni nini mbaya nikiongeza muda wa kulala?
Hemedy jr Junior said: SO TUPIGE KAZI MAANA UKILALA UTAKUWA ONA ONGEZA MUDA WA KULALA. Imeandaliwa na Kimodomsafi Click to expand... Kwahiyo ni nini mbaya nikiongeza muda wa kulala?
Amehlo JF-Expert Member Joined May 8, 2019 Posts 10,415 Reaction score 30,132 Mar 15, 2023 #3 Hannah said: Kwahiyo ni nini mbaya nikiongeza muda wa kulala? Click to expand... Mi tayari nshalala nusu ya umri wangu
Hannah said: Kwahiyo ni nini mbaya nikiongeza muda wa kulala? Click to expand... Mi tayari nshalala nusu ya umri wangu
M masem Member Joined Feb 25, 2023 Posts 78 Reaction score 105 Mar 15, 2023 #4 Amehlo said: Mi tayari nshalala nusu ya umri wangu Click to expand... Hahaha nimelala zaidi ya makadirio tayari
Amehlo said: Mi tayari nshalala nusu ya umri wangu Click to expand... Hahaha nimelala zaidi ya makadirio tayari
Amehlo JF-Expert Member Joined May 8, 2019 Posts 10,415 Reaction score 30,132 Mar 15, 2023 #5 masem said: Hahaha nimelala zaidi ya makadirio tayari Click to expand... Mpaka tuje kufika hiyo miaka 60 😅😅😅
masem said: Hahaha nimelala zaidi ya makadirio tayari Click to expand... Mpaka tuje kufika hiyo miaka 60 😅😅😅