Salaam aleykhum waungwana.
Juzi baada ya CAG kustaafu baada ya kipindi chake cha miaka mitano kuisha, niliona watu wengine wakisema CAG ana miaka 58 hajafikia umri hata wa kustaafu kwa hiari, kwani kustaafu kwa hiari ni miaka 62 na kwa mbinde ni miaka 65.
Hebu mlio Dar es Salaam mtujuze maana najua huko Dar ndio kuna ma profesa wa sheria, viongozi wa serkali, wasomi na wastaafu watarajiwa wengi.
Juzi baada ya CAG kustaafu baada ya kipindi chake cha miaka mitano kuisha, niliona watu wengine wakisema CAG ana miaka 58 hajafikia umri hata wa kustaafu kwa hiari, kwani kustaafu kwa hiari ni miaka 62 na kwa mbinde ni miaka 65.
Hebu mlio Dar es Salaam mtujuze maana najua huko Dar ndio kuna ma profesa wa sheria, viongozi wa serkali, wasomi na wastaafu watarajiwa wengi.