Umri wa dunia ni upi hasa?

Sasa utaweka mada bila ya kufanya research? Huko ndiko kufuata Mkumbo wa MIVITU ULIYO SIKIA MITAANI KWA WAPENZI WA "NEGATIVE GOD"

JIFUNZENI KUULIZA MASWALI NA SIO KUFUATA MKUMBO

sawa. weka research yako unayoijua basi tuku challenge. siyo unapiga piga kelele tuuu
 
Hii mada tamu sana lakin kuna majitu mawili yana gombana tuu hayatoi hoja za msingi
 


Mkuu ndio maana wafuasi wa dini huwa wanaambiwa waamini tu wasiulize logic kuhusu mambo mablimbali ya dini kwani wakiuliza logic hakuna binadamu atakayefuata dini.
 
Mkuu ndio maana wafuasi wa dini huwa wanaambiwa waamini tu wasiulize logic kuhusu mambo mablimbali ya dini kwani wakiuliza logic hakuna binadamu atakayefuata dini.

aisee kazi kweli..na wengi wanasomewa tu hivyo vitabu!!
 
is so sad kuwa watoa maoni wengi wako so shallow

mtoa maada, biblia inasema HAPO MWANZO MUNGU ALIUMBA MBINGU NA NCHI. period hii iko mwanzo 1:1
all ur bing bang theories, gap analysis,.explosions.n.k viko hapo

then bible inaelezea kuwa dunia ilikuwa ukiwa..

all creation six days ni figurative language lakini kuna gaps kubwa sana in between, even bible says siku moja ni sawa na miaka 1000..

ni sawa na kusema Mungu aliumba adamu na hawa....that was just spiritual representation kuwa aliumba me na ke...lakini ukisoma biblia utagundua hakuwa adamu na hawa pekee na ndio maana kaini akapata sehemu ya kukimbilia na kuoa!!!!

tumeidharau biblia, but that is undisputable divine books inaelezea past.present na future...all dinosaurs, ukimwi, nuclear, mpaka android vimo mule. kuelewa just tune urself into position as explorer na sio kama unasoma magazeti ya shigongo

bible ni collection ya vitabu vilivyoandikwa katika span ya miaka tofauto sana....na sehemu tofauti lakini viko connected

wabe
 

vipi zile habari za watu kuishi mpaka miaka 900 kuna ukweli wowote?? Na zile ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya kwanza ndiyo hiyo miaka 1000!
 
vipi zile habari za watu kuishi mpaka miaka 900 kuna ukweli wowote?? Na zile ikawa asubuhi ikawa jioni siku ya kwanza ndiyo hiyo miaka 1000!

nadhani swali ni je walikuwa wanatumia calender ipi?? kuna kalenda ya kiyunani, kichina, kiarabu, kizungu, n.k
 
Ni kweli dunia ina miaka mingi. Takrabini milioni kadhaa. Sidhani kama itakuwa imefika kwenye bilioni. Katika kutafiti kwangu nilifahamu kuwa hapo zamani dunia ilikuwa ikikaliwa na viumbe mbali mbali kama Dinosaurs. Sasa baada ya vita ya kule mbinguni Shetani na malaika zake wakatupwa huku duniani. Wakafanya uharibifu mkubwa sana wa dunia. Mungu alipoona hivyo akakasirika akaigandisha dunia (ice age) kwa miaka mingi sana. Wale viumbe wote waliokaa duniani wakafa ikiwa ni pamoja na hao Dinosaurs. Baada ya miaka mingi Mungu akaaamua kuifufua dunia, sasa historia mpya ya dunia inaanzia kwenye biblia kitabu cha mwanzo ambapo dunia ilikuwa giza tupu na Roho wa Bwana akikaa juu ya maji. Ndipo Mungu akasema iwepo nuru nayo nuru ikawa. Akatenga nchi kavu na bahari and story goes on and on. So dunia hii sio ya leo. (hii ni kutokana na udadavuzi wangu wa maandiko. Sina uhakika wa asilimia mia na hiki wadau)
 
sawa. weka research yako unayoijua basi tuku challenge. siyo unapiga piga kelele tuuu

Why do I have to?

Wewe unajua kusoma au hujui kusoma?

Kama unajua kusoma go and read, sina muda wa kupoteza na people wasio elewa abc za Biblia.
 
watu wa aina hii ni janga..anapinga tu bila facts zozote!!

Do you know the meaning of imperial facts? Watanzania jifunze kuuliza maswali na acheni kuonyesha upungufu wa kutumia fikra zenu. Pathetic people worth no a cent.
 

Mwanaume anapo shindw akuonyesha kutumia akili/fikra huwa inaudhi sana. Especially anapo fikiria kuwa anafahamu kumbe ni sawa na boga la kuliwa na Tembo. That is insanity ya hali ya juu.

By the way, sina muda na watu wasio na uwezo wa kufikiria, wenye nia ya ligi ya Simba na Yanga. I am better than than.

Sio nimekubali kuwa Adam aliumbwa 6000 years ago, it is like that in the Bible and it is indisputable. Jifunze kusoma Biblia na sio kufuata maanidishi kama Kasuku wa non theists wanao tumia akili za wenzao kufikiria.
 

Nani kakwambia kuwa umri wa Dunia unapimwa kwa C14? Kuna Sr kuna Radon kuna K vilevile unaweza ukapima vitu vyenye umri wa mabilioni
 
Why do I have to?

Wewe unajua kusoma au hujui kusoma?

Kama unajua kusoma go and read, sina muda wa kupoteza na people wasio elewa abc za Biblia.

kama huna muda wa kupoteza unafanya nini kwenye hii thread? Huna cha kuchangia tulia, jiheshimu uheshimiwe!!
 

wanatumia akili za nani hao non theist? Na wewe unatumia za nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…