Umri umefika, nahitaji mume mcha mungu

Umri umefika, nahitaji mume mcha mungu

Joined
Jan 8, 2015
Posts
23
Reaction score
8
Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa miaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde pia sina mtoto wala cjawahi kuolewa. Kwa umri huu najitokeza kutafuta mume kigezo kikubwa awe na hofu ya mungu, awe ameajiriwa au kujiajiri. Sichagui dini wala kabila. Waishio maeneo ya kanda ya ziwa hasa Mwanza watapewa kipaumbele. Matusi na kejeri sitaki tafadhali, kama hauna hoja pita kimya kimya tu! Thanx
 
Ongeza description..Nataka Kujua kama wewe ni mnene au mwembamba kama mimi.!
 
Dada una maelezo mazuri kwelikweli, ila umenichosha kwamba wa kanda fulani ndo watafikiriwa! Swali langu kwako ni, kwa maelezo yako ni kama vile unasubiri idadi fulani katika kapu lao na ndo uchague yup ndo atakufaa, sasa idadi yhalisi unayotegemea kwa kapu lako ni ipi?
 
Lulenge au Rulenge? Washubi hupatikana Rulenge na siyo hapo ulipoandika.Vipi route yoooote hiyo hadi Kigali hakuna akufaae hadi jf
 
Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa miaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde pia sina mtoto wala cjawahi kuolewa. Kwa umri huu najitokeza kutafuta mume kigezo kikubwa awe na hofu ya mungu, awe ameajiriwa au kujiajiri. Sichagui dini wala kabila. Waishio maeneo ya kanda ya ziwa hasa Mwanza watapewa kipaumbele. Matusi na kejeri sitaki tafadhali, kama hauna hoja pita kimya kimya tu! Thanx

kila sifa ninazo, bahati ilioje!!! jina lako tu hapo juu ndo linanitatiza....
 
primary? o level? a level? chuo? kazini ndo unatafuta? hehehehe ngoja wajeee!!!!
 
Dah! Nimepeleza cfa 1 tu. Sasa cjui kama utaweza kulegeza mashart ili tuwe pamoja
 
All the best dada utapata wa ubavu wako ukiepangiwa na Mungu
 
Haya vijana majasiri wa kanda ya ziwa mchangamkie fursa hiyo....

tatizo wanaweza wakamuua unajua hawa jamaa miili mikubwa akili kidogo
wao miguvu kulukundu wanaweza wakamchoma au kumkata mapanga bora mkuu ujitwalie jiko
 
Jamani hii ni mara yangu ya kwanza kuanzisha thread humu, nina umri wa miaka 24. Elimu yangu ni degree ya kwanza kwasasa nimeajiriwa kwenye kampuni moja hapa jijini mwanza, dini yangu ni rc. Ni mrefu wa wastani, rangi maji ya kunde pia sina mtoto wala cjawahi kuolewa. Kwa umri huu najitokeza kutafuta mume kigezo kikubwa awe na hofu ya mungu, awe ameajiriwa au kujiajiri. Sichagui dini wala kabila. Waishio maeneo ya kanda ya ziwa hasa Mwanza watapewa kipaumbele. Matusi na kejeri sitaki tafadhali, kama hauna hoja pita kimya kimya tu! Thanx

Weka picture tafadhar
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom