Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 616
- 854
Wakuu habari za muda?
Nina jambo kidogo tushirikishane maana tunatakiwa kuelezana vizur hili naamini linaweza kuamsha au kusaidia baadhi ya watu kujua ni umri upi ni sahihi kuoa na kuolewa kwa kijana, hasa tukizingatia mila za Kibantu/Kiafrika.
Maana binafsi nahsi wapo wanaooa na kuolewa bila kuzingatia umri wakati anafanya maamuzi yake hapa wengine wanawahi, yaani wanakuwa "very young" lakini wengine wanachelewa sana kufanya maamuzi, yaani wanakuwa "wakubwa plus"
Tujuzane kwa MWANAUME umri upi ni sahihi kwa kuoa? Na kwa MWANAMKE umri upi ni sahihi kwa kuolewa?
Nimeshuhudia ndoa moja hivi ya aina yake ikivunjika kwa kipindi kifupi sana ambapo mwanaume ni 38 na mwanamke ni 22, hapo nikaanza kujiuliza nani kati ya MUME NA MKE Amefanya maamuzi yasiyo sahihi. Je, ni mwanaume amechelewa au ni mwanamke amewahi?
Majibu yako yatasaidia wengi sana.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina jambo kidogo tushirikishane maana tunatakiwa kuelezana vizur hili naamini linaweza kuamsha au kusaidia baadhi ya watu kujua ni umri upi ni sahihi kuoa na kuolewa kwa kijana, hasa tukizingatia mila za Kibantu/Kiafrika.
Maana binafsi nahsi wapo wanaooa na kuolewa bila kuzingatia umri wakati anafanya maamuzi yake hapa wengine wanawahi, yaani wanakuwa "very young" lakini wengine wanachelewa sana kufanya maamuzi, yaani wanakuwa "wakubwa plus"
Tujuzane kwa MWANAUME umri upi ni sahihi kwa kuoa? Na kwa MWANAMKE umri upi ni sahihi kwa kuolewa?
Nimeshuhudia ndoa moja hivi ya aina yake ikivunjika kwa kipindi kifupi sana ambapo mwanaume ni 38 na mwanamke ni 22, hapo nikaanza kujiuliza nani kati ya MUME NA MKE Amefanya maamuzi yasiyo sahihi. Je, ni mwanaume amechelewa au ni mwanamke amewahi?
Majibu yako yatasaidia wengi sana.
Ahsante.
Sent using Jamii Forums mobile app