Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,654
- Thread starter
- #21
ha ha ha unamshauri afanye nini ili mwili uendane na umriMie naona sawa 😁
Kwasababu tunatofautiana ukuaji
ha ha ha unamshauri afanye nini ili mwili uendane na umriMie naona sawa 😁
Kwasababu tunatofautiana ukuaji
Nadhani atakuwa alidanganya umri,lasivyo kuna kitu kinamzeeshaIla mkuu sishangai sana japo mm nipo visevesa...umri wangu umeenda ila nina mwili mdogo mfupi alaf sura nayo ndo ivo imegoma kukomaa japo ndo ivo miaka inakwenda...in general naonekana mtoto kabisa ata shule ya msingi naweza rudi
IDK aseeha ha ha unamshauri afanye nini ili mwili uendane na umri
ha ha ha haIDK asee
Kuna maswali ukiuliza jistukie basi
Pesa tamu mkuu,inaongeza nguvu za kiumeNdo tatizo la kusaka pesa ukubwani. Kafoji cheti cha kuzaliwa
Nina NY.ege
Zipo Kg ngapi?Nina NY.ege
Huo ndo ukweli. Watoto wengi hutungwa mwisho wa mwezi kutokana na vijizawadi baba anamunulia mamaPesa tamu mkuu,inaongeza nguvu za kiume
ha ha ha mkuu nimecheka sana.Huo ndo ukweli. Watoto wengi hutungwa mwisho wa mwezi kutokana na vijizawadi baba anamunulia mama
ha ha ha hautafikiri nyani mzee anaeongoza ukoo wa manyani
Mchezaji wa kenya amezaliwa Januari 31, 1992,je unaweza kuamini ana miaka 27?unahisi ni kitu gani kimemkuza hivi?
View attachment 1131833
Najaribu kufikiria akifika miaka 50 itakuwajeLishe duni ya sukuma wiki na cabbage 😜
ha ha ha ha wachokozi hawaDaah ! Haya mambo yamehamia na huku![]()