Umri halisi wa celebrities wa kibongo. ..Part 1.

Na ukichukulia hawakula chakula bora utotoni hawa celebrities wote ni vikongwe kama sisi tu!

Kuna siku nilikaa meza moja na Irene Uwoya pale samaki samaki ngozi yake nyuma ya elbow ya mkono imejikunja tayari ahahahaha

Ngozi ya elbow ikijikunja kitaalam ukitumia caborn 14 ina maana ni above 35 ahahahahahah!

haa haa haaa Malafyale umeniacha hoi
 
Last edited by a moderator:
hapana ni madhara ya cosmetics,,cousin wangu kasoma naye uganda na picha zao ukimuona alikuwa mdogo na ryt nw cousin wangu anamalizia udaktari mwaka wa 5

Uwoya ni mdogo amesoma bunge primary kamaliza 2002 ana miaka 24 now
 
NINAVYOFAHAMU PIUS KISAMBALE NA ATHUMAN IDD 'CHUJI' NI NDUGU WA TUMBO MOJA, HUKU ATHUMANI IDD AKIWA AMEZALIWA TAKRIBANI MIAKA MIWILI KABLA YA PIUS. SWALI LA KUJIULIZA IMEKUAKUAJE HIVI SASA PIUS AMEKUA KAKA WA ATHUMAN ? JE? NI WAPI ATHUMAN ALIKWAMA UMRI MPAKA PIUS AKAJA KUMPIKU ?
pius-kasambele.jpg
NAMEPIUS KISAMBALE
NATIONALITYTANZANIA
DATE OF BIRTH21 DECEMBER 1987
HEIGHT5’8’ INCHES
WEIGHT68KGs
POSITIONSTRIKER
JERSEY11

[TD="bgcolor]
ahahaaaaa
 
Dah.,kaka Ivo Mapunda alikua mwalimu wa shule ya msingi,kisha askari magereza..hadi sasa anadunda,magolikipa wanaweza kucheza hadi 40+

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Na ukichukulia hawakula chakula bora utotoni hawa celebrities wote ni vikongwe kama sisi tu!

Kuna siku nilikaa meza moja na Irene Uwoya pale samaki samaki ngozi yake nyuma ya elbow ya mkono imejikunja tayari ahahahaha

Ngozi ya elbow ikijikunja kitaalam ukitumia caborn 14 ina maana ni above 35 ahahahahahah!

kwa hiyo unataka kutushawishi hawajaachana sana na Zinjathropus.
 
kwa Diamond hapo umejikwa ndugu..huna uhakika na ukisemacho..
kithibitisho sahihi cha umei wa mtu ni chet cha kuzaliwa..
nishakiona chet chake..ni 89mwezi wa kumi
OVER
 
hivi vyeti si uthibitisho kamili mkuu hata leo ww ukitaka cheti cha kuonyesha kwamba umezaliwa mwaka 1997 unakipata ni hela yako tu (sijasema kwamba diamond hajazaliwa mwaka huo)
kwa Diamond hapo umejikwa ndugu..huna uhakika na ukisemacho..
kithibitisho sahihi cha umei wa mtu ni chet cha kuzaliwa..
nishakiona chet chake..ni 89mwezi wa kumi
OVER
 
kwa Diamond hapo umejikwa ndugu..huna uhakika na ukisemacho..
kithibitisho sahihi cha umei wa mtu ni chet cha kuzaliwa..
nishakiona chet chake..ni 89mwezi wa kumi
OVER

bila shaka unamatatizo wewe tena makubwa sana ya kifikra, wewe ni ZUZU A.K.A BORATWENDE
 
kwa Diamond hapo umejikwa ndugu..huna uhakika na ukisemacho..
kithibitisho sahihi cha umei wa mtu ni chet cha kuzaliwa..
nishakiona chet chake..ni 89mwezi wa kumi
OVER

Cheti cha kuzaliwa TZ kinathibitisha nini mkuu? Jaribu kuelezea hilo manake nahisi umezaliwa ulaya nakukulia huko, umekuja TZ kuzeeka weye!
 
lulu kazaliwa 2002! ana miaka 11! hahahaaa!! bongo bana, hadi raha!
 
Abdi kasim babi anasema kazaliwa mwaka 1986 na mwaka 1999 alianza kucheza taifa starz. Sasa je alianza kucheza akiwa na 13 yearz?
 
Taribo West wa Nigeria alienda kucheza soka ugaibuni akasema ana miaka25 akafanikiwa kusailiwa lakini baadae ikagundulika kuwa miaka alikuwa na miaka 40+.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom