Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,827
Na ukichukulia hawakula chakula bora utotoni hawa celebrities wote ni vikongwe kama sisi tu!
Kuna siku nilikaa meza moja na Irene Uwoya pale samaki samaki ngozi yake nyuma ya elbow ya mkono imejikunja tayari ahahahaha
Ngozi ya elbow ikijikunja kitaalam ukitumia caborn 14 ina maana ni above 35 ahahahahahah!
haa haa haaa Malafyale umeniacha hoi
Last edited by a moderator: