captain john komba kuna siku alikuwa anahojiwa akasema kazaliwa mwaka 1978.....hivi ni kweli?
hahahahaaha nimecheka mpk.basi jamani khaaaaaaaaa
captain john komba kuna siku alikuwa anahojiwa akasema kazaliwa mwaka 1978.....hivi ni kweli?
Na kweli hapa anaonekana mdogo sana!captain john komba kuna siku alikuwa anahojiwa akasema kazaliwa mwaka 1978.....hivi ni kweli?
Chuji,amezaliwa 1988.
Ni mdogo kwa Messi.
huyu na mwandanji(godfrey bony) toka mwaka 99 wakiwa wanachezea timu ya 'mount' walikuwa hivyohivyo,atakwambia ana miaka 30. Yule anamkaribia Le Mutuz.
( So miaka ya wema inabadilika kama matokeo ya kwenye cheti cha mwanafunzi anaye risiti mtihani au cheti cha angaza cha mzinzi ?)
Na ukichukulia hawakula chakula bora utotoni hawa celebrities wote ni vikongwe kama sisi tu!Nitatoa na part 2
Na ukichukulia hawakula chakula bora utotoni hawa celebrities wote ni vikongwe kama sisi tu!
Kuna siku nilikaa meza moja na Irene Uwoya pale samaki samaki ngozi yake nyuma ya elbow ya mkono imejikunja tayari ahahahaha
Ngozi ya elbow ikijikunja kitaalam ukitumia caborn 14 ina maana ni above 35 ahahahahahah!
aisee,.. jf kuna kila faniNa ukichukulia hawakula chakula bora utotoni hawa celebrities wote ni vikongwe kama sisi tu!
Kuna siku nilikaa meza moja na Irene Uwoya pale samaki samaki ngozi yake nyuma ya elbow ya mkono imejikunja tayari ahahahaha
Ngozi ya elbow ikijikunja kitaalam ukitumia caborn 14 ina maana ni above 35 ahahahahahah!
Na ukichukulia hawakula chakula bora utotoni hawa celebrities wote ni vikongwe kama sisi tu!
Kuna siku nilikaa meza moja na Irene Uwoya pale samaki samaki ngozi yake nyuma ya elbow ya mkono imejikunja tayari ahahahaha
Ngozi ya elbow ikijikunja kitaalam ukitumia caborn 14 ina maana ni above 35 ahahahahahah!
NINAVYOFAHAMU PIUS KISAMBALE NA ATHUMAN IDD 'CHUJI' NI NDUGU WA TUMBO MOJA, HUKU ATHUMANI IDD AKIWA AMEZALIWA TAKRIBANI MIAKA MIWILI KABLA YA PIUS. SWALI LA KUJIULIZA IMEKUAKUAJE HIVI SASA PIUS AMEKUA KAKA WA ATHUMAN ? JE? NI WAPI ATHUMAN ALIKWAMA UMRI MPAKA PIUS AKAJA KUMPIKU ?
NAME PIUS KISAMBALE NATIONALITY TANZANIA DATE OF BIRTH 21 DECEMBER 1987 HEIGHT 58 INCHES WEIGHT 68KGs POSITION STRIKER JERSEY 11 PREVIOUS CLUB Polisi Dodoma, Prison FC,
Simba SC
Polisi FC (Rwanda),
Goha FC (India),
Moro Utd, Mtibwa Sugar, Ruvu JKT
NAME ATHUMAN IDD NATIONALITY TANZANIA DATE OF BIRTH 18 FEBRUARY 1988 HEIGHT WEIGHT POSITION MIDFILEDER JERSEY 18 PREVIOUS CLUB Polisi Dodoma, Simba SC
NINAVYOFAHAMU PIUS KISAMBALE NA ATHUMAN IDD 'CHUJI' NI NDUGU WA TUMBO MOJA, HUKU ATHUMANI IDD AKIWA AMEZALIWA TAKRIBANI MIAKA MIWILI KABLA YA PIUS. SWALI LA KUJIULIZA IMEKUAKUAJE HIVI SASA PIUS AMEKUA KAKA WA ATHUMAN ? JE? NI WAPI ATHUMAN ALIKWAMA UMRI MPAKA PIUS AKAJA KUMPIKU ?
NAME PIUS KISAMBALE NATIONALITY TANZANIA DATE OF BIRTH 21 DECEMBER 1987 HEIGHT 58 INCHES WEIGHT 68KGs POSITION STRIKER JERSEY 11 PREVIOUS CLUB Polisi Dodoma, Prison FC,
Simba SC
Polisi FC (Rwanda),
Goha FC (India),
Moro Utd, Mtibwa Sugar, Ruvu JKT
NAME ATHUMAN IDD NATIONALITY TANZANIA DATE OF BIRTH 18 FEBRUARY 1988 HEIGHT WEIGHT POSITION MIDFILEDER JERSEY 18 PREVIOUS CLUB Polisi Dodoma, Simba SC