hyle master
JF-Expert Member
- Jan 27, 2013
- 209
- 23
Kama kijana anaye ishi na wazaz wake au walezi wake na anawategemea katika Huduma mbalimbali za kijamii ni mambo gani ambayo kijana anatakiwa kujiandaa ili aweze kijitegemea na UPI umri sahihi wakuweza kujitegemea
Ukiona hudaiwi Ujue unajitegemea
kuanzia miaka 90 hivi. napita tu ndugu yangu.