Christopherpaul
Member
- Jun 7, 2022
- 35
- 37
Ni umri upo sahihi kupata moto Nina miaka 25 vipi nimechelewa au bado maana napambana naogopa kumpa moto wa watu mimba wakati maisha yangu bado sijaweka sawa vipi nitakua nimechelewa aud bado maaana nakua na mawazo sana ya kupata moto na kuweka maisha yangu vizuri