Hahahaha umenikumbusha mdada mmoja alimwambia mwanae akalale mtoto akajibu ahaaa mnataka nikalale muanze uchafu wenu eeh, ss mtt wa miaka 5 kajuaje km huo ni uchafu au lah, akianza tu kuongea ahamishwe lah sivyo majanga.
Licha ya kuwa wanajifunza yasiyofaa pia huwa wanachelesha mechi coz wengine wanachelewa kulala
miaka miwili.mimi nina mpwa wangu ana miaka mi2 hv yani ni mtundu na anaongea sana,kuna siku anaweza toa siri za kambi!
duuuh yaleo kali!kwakweli huu uzao wa kikwete unapevuka haraka sana,kwa upande wangu naona miaka miwili inatosha kwa mtoto kulala na wazazi,kuna mfanya kazi mwenzangu huwa bado analalaga nawanae wawili (pacha)wanamiaka mitatu,sasa sikumoja wakati anakula tunda akijua kwamba watoto washalala ghafla yule wakiume akaanza kumpiga baba ake makalio huku akilia kwanguvu akimuambia baba muache mama,baba muache mama!kitu ambacho sio kizuriView attachment 117547View attachment 117548
KUTOKA NYUMBA YA JIRANI!! Baba anacheki TV, mtoto wake miaka 3 miezi 4 (cha kiume) alikua anarukaruka kwenye sofa wakati mama yake anafanya usafi ghafla mtoto akalala kwa mgongo kaanza kukata kiuno akaanza kumuita mama yake aje amkalie!! Mama kaanza kumtandika fagio za kutosha, Baba kashindwa kuvumilia ikabidi aangue kicheko nae kalimwa fagio akajiondokea.
Ni umri gani mtoto asiendelee kulala na wazazi??? au tuige mfano wa kule kijijini Baba na Mama kuwa na vyumba tofauti wakishapata watoto??
Sa kama mnakaa chumba kimoja mtamtenganishaje.........
kwahyo na ww unaunga mkono suala la kulala naye?? Hapo ni kujipanga mapema kabla hujapata mtoto. Jitahidi akifikisha miaka miwili aanze kulala peke yake. Ili asije kukung'ang'ania sku moja