Umri gani ni sahihi kumtenganisha mtoto na chumba cha wazazi?

Kwa research zilizofanywa hivi karibuni zinashauri mtoto alale peke akiwa na umri wa miaka 5.

Si vema mtoto kulala na wazazi kitanda kimoja,tangu mdogo yapasa awe na kitanda chake mwenyewe.
Umri ukisogea anza kumlaza kwenye chumba chake wakati wa mchana ili apate kukizoea.
Mieleze kwa upole kuwa sasa ni muda wa yeye kuanza kijifunza kulala peke yake.mueleze ilivyo bora kulala peke yake ikiwa ni pamoja na kujijengea ujasiri.
Mhakikishie kuwa karibu yake kwa muda wote atapokuwa peke yake.
Kama anaogopa giza,mtengee taa karibu na kitanda chake ili kumuongezea ujasiri.
Mara moja moja akipata ndoto za kutisha lala naye room kwake,hiyo itasaidia kuamini upo pamoja naye hata akiwa na chumba chake..
Usiache kumpingeza kwa zawadi anapofanikiwa kulala peke yake..

KUZAA SIO KAAZI,KAAZI KULEA MWANA
 
Mie yalinitokea ya ajabu. Baada tu ya kumaliza tunda an mamsapu wangu mwanangu akaanza kumpa pole mama yake. Yeye alidhani tulikuwa tunapigana. Mie tangu siku hiyo nikakapa transfer. Kalikuwa nod kanaanza kuongea tuu
tehe, tehe, yaelekea ilikuwa kukuru kakara ya kufa mtu.Mtoto alisahau kukpa pole na wewe Mkuu regam Sisi tuliacha kulala na mtoto alipoacha tu kunyonya yaani mwaka mmoja baada ya kuzaliwa
 
Last edited by a moderator:
nimeipenda hi srid.. kumbe vitoto vinawapiga chabo hahaha:A S tongue:
kitaalamu mtoto ananza kujua tofauti ya jinsia akifika miaka 3. na ananza kuwa na hisia za mapenzi kwa mzazi wake wa jinsia tofati, km mtoto wa kike basi atanza kumpenda baba yake sana, n wakiume kumpenda mama yake. pia kuwa na hamu ya kutaka kujua kuhusu jinsia yaje na nyengine, so frm 3 yrz mtoto ananza kufanya masturbation yan kananza kujishika shika sana ikulu
cuz sijaza so siwezi kua mtoto anahamishwa muda gani ila nahisi asifike miaka mitatu awe kashahamia chumba chake
 
Ni vyema mtoto alale na wazazi wake chumba kimoja lakini vitanda tofauti kuanzia mchanga hadi miaka miwili ndio ahamishiwe kwenye chumba kingine!
 
Dr. Kapama,
miaka 5????????
Kuna katoto ka kiume kama miaka 4-5 kalifumwa kanafundisha 'matusi' katoto ka kike, ilikua aibu uswazi, mama yake aliona noma ile mbaya, mama wa kibinti kilichoathirika alikuja juu kama moto wa kifuu.....

Miaka 5 watoto watajifunza matusi
 
Last edited by a moderator:
1.jpg 6.jpg
KUTOKA NYUMBA YA JIRANI!! Baba anacheki TV, mtoto wake miaka 3 miezi 4 (cha kiume) alikua anarukaruka kwenye sofa wakati mama yake anafanya usafi ghafla mtoto akalala kwa mgongo kaanza kukata kiuno akaanza kumuita mama yake aje amkalie!! Mama kaanza kumtandika fagio za kutosha, Baba kashindwa kuvumilia ikabidi aangue kicheko nae kalimwa fagio akajiondokea.
Ni umri gani mtoto asiendelee kulala na wazazi??? au tuige mfano wa kule kijijini Baba na Mama kuwa na vyumba tofauti wakishapata watoto??
 
Ha ha ha! Baba nae alipata kichapo cha fagio!

Nadhan wazazi wajitenge na mtoto pale anapoanza kujitambua na kuanza kuongea. Hata mkiwa chumba kimoja ni vizuri kuwa na kale kakitanda cha watoto kimepanda juu hata akilala peke yake hawez kuviringika na kuanguka chini.
 
miaka miwili.mimi nina mpwa wangu ana miaka mi2 hv yani ni mtundu na anaongea sana,kuna siku anaweza toa siri za kambi!
 
Ha ha haaaaa yaaani huyo jamaa kama namuona maaana hata mimi ningecheka mbavu sinaaaa na ninavyomjua mama kayayii wallah ufagio ungenihusu!!!!!!!

Miaka miwili inatosha sana ila asikwambie mtu mtoto kumpeleka chumba chake yataka moyo,waweza jikuta unatembea usiku kucha kwenda kumuona kama yupo ok!!!!!
 
Wangu alikuwa akilala kitandani kwake tangu nilipomzaa na alipofika miezi 8 alihamia chumbani kwake coz alikuwa haamki ucku!!
 
Ha ha haaaaa yaaani huyo jamaa kama namuona maaana hata mimi ningecheka mbavu sinaaaa na ninavyomjua mama kayayii wallah ufagio ungenihusu!!!!!!!

Miaka miwili inatosha sana ila asikwambie mtu mtoto kumpeleka chumba chake yataka moyo,waweza jikuta unatembea usiku kucha kwenda kumuona kama yupo ok!!!!!
Mmhhh really naona you just worry much!!
 
Mmmh labda,councelling please!!!!

Hata nikibaki nyumbani mwenyewe,siwezi lala usiku wote bila kuamka na kutembea hapo ndani!!!!!
Ha ha ha si unaona kumbe una matatizo hayo tangia mwanzoni!!!Unatembea kucheck nn sasa milango na madirisha yamefungwa?Usalama wa nyumba?
 
mimi49 naona upo sahihi watoto wanajifunza mambo meng sana wakiwa bado wadogo,...
Kuna mmoja nlimsikia anawasimulia wenzake kwamba baba yake kila siku anamshinda mama anamwangusha yeye anakaa juu mpaka mama analia alikua na umri wa miaka 3..just imagine akiendelea kulala na wazaz mpaka miaka 5,...si ndo atakua anafanya vitendo!
 
View attachment 117547View attachment 117548
KUTOKA NYUMBA YA JIRANI!! Baba anacheki TV, mtoto wake miaka 3 miezi 4 (cha kiume) alikua anarukaruka kwenye sofa wakati mama yake anafanya usafi ghafla mtoto akalala kwa mgongo kaanza kukata kiuno akaanza kumuita mama yake aje amkalie!! Mama kaanza kumtandika fagio za kutosha, Baba kashindwa kuvumilia ikabidi aangue kicheko nae kalimwa fagio akajiondokea.
Ni umri gani mtoto asiendelee kulala na wazazi??? au tuige mfano wa kule kijijini Baba na Mama kuwa na vyumba tofauti wakishapata watoto??

Kwa kizazi cha sasa hivi ni pale mtoto macho yake yanapoanza kuona vitu na masikio yake yanapoanza kusikia vizuri.
Kuthibitisha hilo hii imetokea kweli:

Mtoto kamuuliza babake; "Eti baba, unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "Kwa nini umeniuliza hivyo?
Mtoto akamwambia: "Jana usiku, nilisikia ukimnong'oneza mama, eti, kama anakupenda, murudie la pili...!
Mtoto: "Hivi baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje muende la pili? Usikubali hata kidogo....!
Baba akamjibu mtoto: "Kuanzia leo utakuwa unalala jikoni"

Kwa hiyo baba na mama kulala na mtoto chumba kimoja ni balaa tupu kwa sababu watoto husikiliza hata kama wako usingizini.
 
Hahaha watoto wa siku iz hao,akichukua anayoyaona kwenye tv na ya chumbani kwa wazazi kama mpaka miaka mitano analala na wazazi hakika afikapo ten years anaweza akaact porn kwakweli maana stlye zote atakua anazijua.
Ivyo mapema sana ahamishwe chumba ila kama anaumwa mchukueni mkalale nae
 
Licha ya kuwa wanajifunza yasiyofaa pia huwa wanachelesha mechi coz wengine wanachelewa kulala
 
Back
Top Bottom