Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Kipindi hichi ndio nimefahamu kwamba Tanzania kuna makundi yenye umoja, maana hati umoja wa mamalishe Tanzania nimeufahamu kipindi cha Samia
==============
Umoja wa Mafundi Magari Kinondoni Dar Es Salaam umetoa wito kwa mafundi wengine nchini kumpigia kura mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Akizungumza na vyombo vya habari leo Oktoba 15, 2025 Makamu Mwenyekiti wa Umoja huo Abdallah Rashid Nkindwa amesema zipo sababu lukuki za wanachama wa umoja huo na Watanzania kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ameeleza sababu za kumchagua Dkt Samia ni kukamilishwa kwa miradi mikubwa iliyoachwa na hayati Dkt. John Magufuli kama Bwawa la Umeme la Mw. Nyerere na Treni ya Umeme ya SGR.
==============
Umoja wa Mafundi Magari Kinondoni Dar Es Salaam umetoa wito kwa mafundi wengine nchini kumpigia kura mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Akizungumza na vyombo vya habari leo Oktoba 15, 2025 Makamu Mwenyekiti wa Umoja huo Abdallah Rashid Nkindwa amesema zipo sababu lukuki za wanachama wa umoja huo na Watanzania kumchagua Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ameeleza sababu za kumchagua Dkt Samia ni kukamilishwa kwa miradi mikubwa iliyoachwa na hayati Dkt. John Magufuli kama Bwawa la Umeme la Mw. Nyerere na Treni ya Umeme ya SGR.