PreGE2025 Umoja wa Machinga Dar kufanya Kongamano kubwa kumpongeza Rais Samia Mei 24

PreGE2025 Umoja wa Machinga Dar kufanya Kongamano kubwa kumpongeza Rais Samia Mei 24

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Wakuu!

Hawa Chawa wa Rais Samia wanajitahidi sana kufosi mambo ili ionekane Rais anapendwa 🤯

==

Generation Samia kwa kushirikiana na Umoja wa Machinga Dar es Salaam wameandaa Kongamano kubwa sana kwa ajili ya kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mambo makubwa na mazuri anayowafanyia.

Kongamano hilo litafanyika Tarehe 24, May 2025 katika Viwanja vya Mnazi mmoja, Jijini Dar es Salaam.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

 
Wakuu!

Hawa Chawa wa Rais Samia wanajitahidi sana kufosi mambo ili ionekane Rais anapendwa 🤯

==

Generation Samia kwa kushirikiana na Umoja wa Machinga Dar es Salaam wameandaa Kongamano kubwa sana kwa ajili ya kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mambo makubwa na mazuri anayowafanyia.

Kongamano hilo litafanyika Tarehe 24, May 2025 katika Viwanja vya Mnazi mmoja, Jijini Dar es Salaam.
View attachment 3342310
HAO SIYO MACHINGA NI UVCCM NA CCM KIUJUMLA HAPO HAKUNA MACHINGA.

SERIKALI ILIWALETA WACHINA KIMKAKATI WAZAGAE KARIAKOO KWA MAKUSUDI ILI IJE IWAFUKUZE IONEKANE KAMA SERIKALI IMAFANYA KITU KIZURI KUWATETEA VIJANA WA KARIAKOO.

KIFUPI HII NI DRAMA
 
Wakuu!

Hawa Chawa wa Rais Samia wanajitahidi sana kufosi mambo ili ionekane Rais anapendwa 🤯

==

Generation Samia kwa kushirikiana na Umoja wa Machinga Dar es Salaam wameandaa Kongamano kubwa sana kwa ajili ya kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mambo makubwa na mazuri anayowafanyia.

Kongamano hilo litafanyika Tarehe 24, May 2025 katika Viwanja vya Mnazi mmoja, Jijini Dar es Salaam.
View attachment 3342310
Spinning za kijinga sana hizo
 
Wakuu!

Hawa Chawa wa Rais Samia wanajitahidi sana kufosi mambo ili ionekane Rais anapendwa 🤯

==

Generation Samia kwa kushirikiana na Umoja wa Machinga Dar es Salaam wameandaa Kongamano kubwa sana kwa ajili ya kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa mambo makubwa na mazuri anayowafanyia.

Kongamano hilo litafanyika Tarehe 24, May 2025 katika Viwanja vya Mnazi mmoja, Jijini Dar es Salaam.
View attachment 3342310
CCM mnavyojua kujitekenya na kucheka wenyewe!
 
CCM mtahangaika sana na hii No Reforms - itafika hatua mtawasalimia hadi mama niwekee shkamoo. Ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom