Hao hao CCM wanaokupa madaraka wanajiuliza mpiga kura wako Mzee kibao ambaye alipotea na wewe ukanyamaza. Sasa leo hii unategemea watakuamini vipi. Binadamu wanaogopa watu ambao wanafanya kila kitu hata kuficha hisia zao kwasababu ya kupata cheo
Mifano IGP Mangu alikataa kumpeleleza bila kufuata sheria Lissu mpaka akajiuzulu. Asingeweza kukubali hasa mtu kama Lissu wametoka jamii moja
Nyalandu naye aliacha mpaka ubunge. Sasa Ummy wewe ni uchawa tu kila siku. Lini utakuwa mwenyewe! Achana na unafiki!
Mangu leo ni mwenyekiti wa TPA na yupo na msimamo wake bado
Mifano IGP Mangu alikataa kumpeleleza bila kufuata sheria Lissu mpaka akajiuzulu. Asingeweza kukubali hasa mtu kama Lissu wametoka jamii moja
Nyalandu naye aliacha mpaka ubunge. Sasa Ummy wewe ni uchawa tu kila siku. Lini utakuwa mwenyewe! Achana na unafiki!
Mangu leo ni mwenyekiti wa TPA na yupo na msimamo wake bado