GE2025 Ummy Mwalimu arejea kuomba ridhaa ya ubunge Jimbo la Tanga mjini

GE2025 Ummy Mwalimu arejea kuomba ridhaa ya ubunge Jimbo la Tanga mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Mbunge wa Tanga Mjini Ummy Mwalimu Ummy Mwalimu amechukua fomu leo June 30,2025 ya kuomba kutetea Ubunge katika Jimbo la Tanga Mjini.

Ummy ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Afya amechukua fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Tanga na amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Tanga, Jamal Khimji.

Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima ambapo watia nia tofauti wameendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu za Ubunge na Udiwani.
1751283624520.png
 
Mbunge wa Tanga Mjini Ummy Mwalimu Ummy Mwalimu amechukua fomu leo June 30,2025 ya kuomba kutetea Ubunge katika Jimbo la Tanga Mjini.

Ummy ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Afya amechukua fomu hiyo katika Ofisi ya CCM Wilaya ya Tanga na amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu wa CCM Wilaya ya Tanga, Jamal Khimji.

Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima ambapo watia nia tofauti wameendelea kujitokeza kwa ajili ya kuchukua fomu za Ubunge na Udiwani.
Tatizo mdomo ulimponza. Alivujisha mambo ya Shishi
 
Wakuu,

Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Tanga Mjini aliyemaliza muda wake, Ummy Mwalimu amechukua fomu ya kuomba tena ridhaa wananchi wa jimbo hilo kugombea ubunge wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi.

Ummy amechukua fomu kwenye ofisi za CCM Wilaya ya Tanga na kukabidhiwa na Katibu wa chama hicho, Jamal Abbasi.

ummy.png
 
Back
Top Bottom