Umiliki wako kwa jukumu letu

Umiliki wako kwa jukumu letu

LWK

Member
Joined
Jul 14, 2017
Posts
9
Reaction score
4
Umililiki wako kwa jukumu letu.
MHCL inatoa huduma za upandaji miti ya mbao na parachichi, tunauza ya miche ya miti ya mikaratusi(ecalyptus) na misindano (pine), utoaji huduma endelevu kwa mashamba yenye miti tayari, usimamizi na orodha ya mashamba yanayouzwa,Wasiliana nasi katika +255752771966 na +255758884477 na +255753771328 au kutumia email mufindiholdingscoltd@gmail.com. Mashamba hugharimu kati ya TZS 130,000- TZS 1,400,000 kwa ekari kwa mikoa ya Iringa, Njombe na Ruvuma
 

Attachments

  • DSCN0874.JPG
    DSCN0874.JPG
    312.7 KB · Views: 52
Hilo shamba la 130,000 linaweza kuwa na sifa gani mkuu

Tuyaache kama yalivyo
 
Hilo shamba la 130,000 linaweza kuwa na sifa gani mkuu

Tuyaache kama yalivyo
linafaa kwa kilimo cha miti ya kupandwa na linapatikana umbali wa km 70-100 kutoka barabarani yaani barabara ya lami
 
Hilo shamba la 130,000 linaweza kuwa na sifa gani mkuu

Tuyaache kama yalivyo
Linaweza kuwa km kati ya 80-100 km toka barabara kuu za lami na linaweza pandwa miti ni ya uwanda wa juu kidogo so simazuri saana kwa kilimo cha trekta cha kawaida
 
Back
Top Bottom