Zabron Erasto
Member
- May 29, 2011
- 47
- 3
wanajukwaa naomba msaada wa taratibu za kupata HATI MILIKI ya ardhi kwa hekari 15 Pia na sheria ya ardhi kuhusu hati miliki.
mimi niko arusha na eneo langu liko ndani ya jiji,ninahitaji kupata hati miliki naomba msaada wa ushauri.
Wakuu kuna tofauti gani kati ya HATIMILIKI ya KIMILA na HATIMILI KUU,,,,kwa maana ya matumizi yake,,,!
Hati miliki ya kimila inatolewa kwa ardhi za vijiji na hati miliki kuu hutolewa kwa maeneo ya mijini!!! Na hizi zinasimamiwa na sheria mbili tofauti!hati miliki za kimila zinatolewa na halmashauri za vijiji wakati za general land zinatolewa na kamishna wa ardhi!!