Umeya Dar: UKAWA chukueni tahadhari hii

politiki

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
2,376
1,507
Kwanza nashukuru sana kwa kufuata ushauri wangu wa kupambana na CCM moto kwa moto kwa kuleta wajumbe wa ziada wa UKAWA kutoka zanzibar badala ya kuendelea kulalamika dhidi ya Uhuni wa CCM.
CCM imekubali uchaguzi siyo bila vituko lakini haitakwenda chini bila ya mapambano na mjiandae na mambo mawili nayo ni 1: Mkurugenzi kuitisha mkutano wa uchaguzi kwa hati ya dharura{ARUSHA STYLE}
2: CCM kununua madiwani wa UKAWA kujazia ushindi wake

Namna ya kukabiliana nao
1: Chukueni tahadhari kubwa kwa kuweka minders karibu na jengo la uchaguzi kuhakikisha hakuna uchaguzi wowote unachofanyika bila taarifa kamili ili kucheza na akidi

2: ili kukabiliana na suala la pili ni lazima mkatae kura za siri ili kuweza kuwaumbua wale wasaliti, lazima kikao kisimamie kura ya wazi ndio njia pekee ya kukabiliana na wasaliti.
 
Kwanza nashukuru sana kwa kufuata ushauri wangu wa kupambana na ccm moto kwa moto kwa kuleta wajumbe wa ziada wa ukawa kutoka zanzibar badala ya kuendelea kulalamika dhidi ya Uhuni wa CCM.
CCM imekubali uchaguzi siyo bila vituko lakini haitakwenda chini bila ya mapambano na mjiandae na mambo mawili nayo ni 1: Mkurugenzi kuitisha mkutano wa uchaguzi kwa hati ya dharura{ARUSHA STYLE}
2: CCM kununua madiwani wa ukawa kujazia ushindi wake

namna ya kukabiliana nao
1: Chukueni tahadhari kubwa kwa kuweka minders karibu na jengo la uchaguzi kuakikisha hakuna
uchaguzi wowote unachofanyika bila taarifa kamili ili kucheza na akidi

2: ili kukabiliana na suala la pili ni lazima mkatae kura za siri ili kuweza kuwaumbua wale wasaliti lazima
kikao kisimamie kura ya wazi ndio njia pekee ya kukabiliana na wasaliti.


Kati ya hizi staili mbili, Mkurugenzi kuitisha mkutano wa uchaguzi kwa hati ya dharura na CCM kununua madiwani wa ukawa kujazia ushindi wake; ni staili ipi ilitumika katika jiji la Tanga. Naomba kupata taarifa maana kule walio wengi walishindwa na walio wachache!!!!
 
Kati ya hizi staili mbili, Mkurugenzi kuitisha mkutano wa uchaguzi kwa hati ya dharura na CCM kununua madiwani wa ukawa kujazia ushindi wake; ni staili ipi ilitumika katika jiji la Tanga. Naomba kupata taarifa maana kule walio wengi walishindwa na walio wachache!!!!
Tanga wanyang'anya kama kwa kafulila
 
Back
Top Bottom