Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,700
- 4,531
Zoezi la kupiga kura kwa ajili nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe mtaa wa Mwananyamala-Kisiwani jana, Oktoba 23 lilishindikana kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo baadhi ya majina kutokuwepo kwenye orodha ya wakazi, hivyo kusababisha uchaguzi kuhamishiwa Ofisi za CCM Kata ya Mwinjuma.
Soma, Pia:
+ Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani
+ Tanga: CCM waanza kupiga kura za maoni kwa wagombea kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa
+ Kigoma: Moto wa vurugu katika kura za maoni CCM umeendelea kukolea
+ Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani
+ Tanga: CCM waanza kupiga kura za maoni kwa wagombea kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa
+ Kigoma: Moto wa vurugu katika kura za maoni CCM umeendelea kukolea