Brain Kingdom
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 7,004
- 14,551
Palizi tu hilo pisi tutaichukua wenyewe
Ilivokua haipiti haina maana kua ni bikra, huyo alishazinduliwa sema baada ya uzinduzi hakutumika sana ,ndo maana ukawa unaona km haipiti...Inaendelea
Akaniambiwa Kipindi Yupo Chuo kuna Jamaa mmoja alikuwa anamhudumia Mpaka kumlipia Kodi , Nakumlipia Ada
Sasa kumbe yule jamaaa alipeleka mahari kwa binti na alikuwa anamhudumia Binti Akitarajia kuwa Atamuoa binti
Binti akaniambia jamaa alikuwa anamhudumia then wanaishia kuwasiliana kwa simu walikuwa hawajaonana , Sasa baada ya muda kwenda Na binti kumaliza Si ndio Kipindi Ambacho mimi nkaanza nae mahusiano , sasa jamaa akaja home kwa binti Ndo hapo wakaonana Sasa binti anasema akashindwa Kumpenda jamaa Ikabidi Binti akatae Ndoa na Msela Huku jamaa alishalipa nusu ya mahari maana binti anasema walikubaliana Kabisa na jamaa kama hatamridhia basi wataachana
Kumbe jamaa akuridhika akamtumia Manzi dada zake kuleta fujo binti anapofanyia kazi lakini siunajua Kunakuwaga na shift Akawa anapishana na wanaotaka kumfanyia fujo Sjui walikuwa na Viwembe , basi ile hali ikamfanya manzi akawa na mawazo , mwisho wa siku nikamwambia awaambie walinzi wa hyo hospital maana ni moja ya hospital kubwa hapa Dar lile suala likawa solved Hawakurudi tena maisha yakaendelea
Hichi kisa ni kabla ya kile cha Mwanzo
Hvyo Basi Huyu binti amekataa wanaume wawili sababu yangu ambao wote walipeleka Posa kwao
Sasa Tabia ya binti Ambayo kwa kwel nimeshazoea ni kwamba Nimuoga sana Hvyo simu hapokei kabisa yani ananiogopa balaa , SMS anajibu shwari na anamapenzi lakini hayupo Romantic sana
Uzuri huyu binti mimi na yeye tumeendana sana maana ni wale watu tunapenda Vibe na Tabia zakucheka Kuweka memes na vitu vingine
Niseme kuwa toka nafahamu wanawake Huyu ni mwanamke wa pekee kabisa kuwa nae kwenye mahusiano yani Haombi pesa , hana tamaa , Ni pisi kali sana , anajitambua sana
Ila Ndo hvyo akiwa kwenye changamoto ni mgumu sana ila Pia sio mtu wa mitandao sana muda mwingi Yupo busy na kazi akipata kamuda chakujibana Tutachat kwa whatsaapp
.
Kwa kwel huyu binti Nataka Nimpe mimba kabisa Kama sio mwaka huu Nimpe mwakani nikiwa intern Maana Ni Complete set ya Mwanamke wa ndoto Halafu ni mzuri jaman.
Swali langu
je ni kwamba ilivyokuwa Uume haupiti na nlikuwa nmemuandaa ni kwamba alikuwa bikra au vp maana damu haijatoka
Sio mtu wa mtandao kwahyo Siongei nae sana maana anakuwa hospital na Anapenda kuficha changamoto zake nimekuwa namwambia abadilike Lakin amekuwa mgumu
Je nawezaje kumvumilia nurse?
View attachment 2743608View attachment 2743610
Utoto raha sana.Yan Sasa huyu binti ni wale ambao Unavyompost ndo unamlainisha yani anapenda kinoma, siunajua wanawake wanatofautiana Sasa huyu hadi ilifika sehemu anascreenshot anabishana na Rafk yake kuwa nimemuweka DP Kuwa na mpenda Sana , sasa huyo rafk yake ni wakiume akawa anamwambia usidanganywe ila manzi akawa anaendelea kusisitiza kuwa mwaka huu amependwa, mpaka kuja getto sababu ndo hizo kuwa nimemteka kitofauti.
Huko kupagawa kwako unakoonesha hapa nadhani ni mara 2 kwa unavyomuonesha yeye.nimeshawahi kula pisi kali maana ndo haina ya wanawake ninaowapenda ,ila niliowahi kuachana nao ni wale hawajitambui mara sjui wanakaaa uchi ovyo na wenye mambo Mengi ,
Ni kwel anapresha ya ndoa lakini Ametulia Alisema mwakani Tu anasubria Nimuoe lakin tutaanza na mtoto, sio kwamba naamini sana wanawake Hapana Maana nimesoma stori kibao Huku jamii forum kule MMU Ila nathamini yeye kunipenda bila kutaka nimgaramikie .
Hiyo one mil ni mwaka mmoja tu baada ya hapo utasota mitaani wacha ujinga, tafuta hela.sizani kama ni mdogo kiivyo ,sasa hivi mbona ni kawaida kuoa mtu akiwa internship, Nashindwaje kuweka mwanamke ndani wakati napokea 1M ya intern Kwa Mwaka mzima na nina mishe kibao zinazonipa hela ,mimi naona ni uwoga wa watu wachache ,kwa hapa naposoma watu wengi wanafanya hivyo ili waanza kufocus ja maisha
Una miaka 23 imetia mademu kumi, unashindana na nani?Hapana sio mgeni kiivyo, Nishafanya mapenz na zaid ya Wanawake 10 kwakutumia kinga Maana najali afya yangu Sana
yes sasa si nimesema ni mwanafunzi ahahahah Nina 23 years nipo Chuo mwaka wa nne na JF nipo toka 2018 nikiwa Form 5
Mwanamke lazima umzidi umri, kwasababu ataanza kuzeeka yeye kabla yako. Mkilingana akianza yeye kuzeeka, utakuwa unatamani vibinti vibichi vibichi huko nje, ukimzidi miaka 5-10 ndo utazeeka naye pamoja.Maisha yamebadilika mkuumasuala yakuoa binti Mdogo mimi sitakuja kufanya , mwisho nizeeke nipigiwe bure hapana , Huyu akipata matunzo hatazeeka mapema ni pesa tu.