ushauri mzuri sanaa ,thank you bossOyamkuu hongera kwa kupata pisi Kali tamu alafu isiyo na tamaa Bali yenye kuridhika.
Mjali sana huyo manzi ukifeli kwa huyo nakuahidi utopata mwngn km huyo maana kwa Karne hii pisi za Aina hyo ni nadra sn kuzipata.
Wahi mpige mimba akuzalie kbl wahuni hatujaja hapo kukupiku kiongoz, narudia tn kukupongezahongera
sizani kama ni mdogo kiivyo ,sasa hivi mbona ni kawaida kuoa mtu akiwa internship, Nashindwaje kuweka mwanamke ndani wakati napokea 1M ya intern Kwa Mwaka mzima na nina mishe kibao zinazonipa hela ,mimi naona ni uwoga wa watu wachache ,kwa hapa naposoma watu wengi wanafanya hivyo ili waanza kufocus ja maishaKijana soma umalize shule. Bado mdogo sana
nimeshawahi kula pisi kali maana ndo haina ya wanawake ninaowapenda ,ila niliowahi kuachana nao ni wale hawajitambui mara sjui wanakaaa uchi ovyo na wenye mambo Mengi ,Dogo umepagawa!! Pole sana.
Hujawahi kula pisi kali?, wengi mnakuaga na wenge sana, mnafanya vitu mpaka dem mwenyewe anashangaa huyu mwamba vipi mbona too much.
Tuliza akili hiyo la sivyo siku si nyingi utaleta uzi kua dem wako kaolewa.
Umesema upo chuo, focus na masomo yako uje mtaani vizuri. Huyo dem atakufanya uanze life la mtaa kiboya. Muda huo uliopo sasa sio wa kufocus na mapenzi hasa kua na mahusiano na mwanamke ambaye yupo kwenye presha ya ndoa.
Atawakataa ila hatowakataa wote.
Kwa maandishi tu unaonekana bado mdogo. Kwa hiyo kuna mawili tumaweza sema ukweli ukatuona wazushi au hatuna tulijualo kwa sababu umeshazuzuka hujapenda. Au umependa kweli ila unakoelekea utashikwa pabaya ukose pa kuchomokea uanze kulia kwa sababu naye ana nafasi ya kukutana na wa zaidi yako. Sasa sijui ungependa kusikia lipiHuwez kuamini lakin Binti anataka kufanana na hao yani ni pisi Sana Mpaka Nawaza Mnoo, japo Mtoto ananielewa sana mpaka Sasa anawaza Tuzae nae
anashape kali pia amejaza vizur lakin Ananywele za Watu watanga sio zakizungu.
Kwa kwel simcheat Kabisa Nimetulia mazima
Yan Sasa huyu binti ni wale ambao Unavyompost ndo unamlainisha yani anapenda kinoma, siunajua wanawake wanatofautiana Sasa huyu hadi ilifika sehemu anascreenshot anabishana na Rafk yake kuwa nimemuweka DP Kuwa na mpenda Sana , sasa huyo rafk yake ni wakiume akawa anamwambia usidanganywe ila manzi akawa anaendelea kusisitiza kuwa mwaka huu amependwa, mpaka kuja getto sababu ndo hizo kuwa nimemteka kitofauti.Basi fanya hivi.
Kuanzia sasa usimpe attention. Yaani usimtexf Wala kupiga simu, endelea na shughuli zako kama masomo , akikutumja text usijibu hapohapo, kausha mpaka akutumie mara nyingi ndo umjibu. Jifunze kuwa rare, yaani usipatikane muda wote maana demu ashakuona anaweza kukupelekesha.
Kwanini muanze na mtoto? Then ndoa ndio ifuate, kwa haya ayaseme yeye? Dhumuni lake ni nini?nimeshawahi kula pisi kali maana ndo haina ya wanawake ninaowapenda ,ila niliowahi kuachana nao ni wale hawajitambui mara sjui wanakaaa uchi ovyo na wenye mambo Mengi ,
Ni kwel anapresha ya ndoa lakini Ametulia Alisema mwakani Tu anasubria Nimuoe lakin tutaanza na mtoto, sio kwamba naamini sana wanawake Hapana Maana nimesoma stori kibao Huku jamii forum kule MMU Ila nathamini yeye kunipenda bila kutaka nimgaramikie .
yes sasa si nimesema ni mwanafunzi ahahahah Nina 23 years nipo Chuo mwaka wa nne na JF nipo toka 2018 nikiwa Form 5Kwa maandishi tu unaonekana bado mdogo. Kwa hiyo kuna mawili tumaweza sema ukweli ukatuona wazushi au hatuna tulijualo kwa sababu umeshazuzuka hujapenda. Au umependa kweli ila unakoelekea utashikwa pabaya ukose pa kuchomokea uanze kulia kwa sababu naye ana nafasi ya kukutana na wa zaidi yako. Sasa sijui ungependa kusikia lipi
Nimeshasema binti amenizidi mwaka mmoja Sasa hiv anatamani Kuwa na mtoto na siunajua tena huo umri kwa mabinti wakiislamKwanini muanze na mtoto? Then ndoa ndio ifuate, kwa haya ayaseme yeye? Dhumuni lake ni nini?
Yachambue haya kwa kina kabla hujamuhukumu
🤣🤣🤣 mdogo wangu sio kwa ubaya ila huu ni utoto. Kama una nia kweli muoe usimuumizeYan Sasa huyu binti ni wale ambao Unavyompost ndo unamlainisha yani anapenda kinoma, siunajua wanawake wanatofautiana Sasa huyu hadi ilifika sehemu anascreenshot anabishana na Rafk yake kuwa nimemuweka DP Kuwa na mpenda Sana , sasa huyo rafk yake ni wakiume akawa anamwambia usidanganywe ila manzi akawa anaendelea kusisitiza kuwa mwaka huu amependwa, mpaka kuja getto sababu ndo hizo kuwa nimemteka kitofauti.
Sawa mdogo wangu. Kila la kgeri kwenuNimeshasema binti amenizidi mwaka mmoja Sasa hiv anatamani Kuwa na mtoto na siunajua tena huo umri kwa mabinti wakiislam
akiamka Alikuwaga na Tabia Yakukaa kimya Toka Zamani sababu ndo Tabia yake halisi, Nikamrekebisha kuwa anatakiwa akiamka atoe salama So ikawa Hvyo kila akiamka asubuhi atauliza nashindaje hivyo yan lakini pia kama nlivyosema binti sio mtu wa mitandao sana muda mwingi yupo Kazini maana ni nurse , akiwa online ni lazima ajibu message zangu Ata kama akichelewa utakuta anaangalia status zangu then atajibu .Kila la heri, ushauri mmoja kutoka kwa veteran, balance shobo ata kama umemuelewa vp mfanye awe na shauku ya kukutafuta zaidi mana unasema most times hadi uanze wewe basi! na usipost pics zake banaa.
Kama daily we ndo unaanza kumtafuta then mayb hajakupenda kama ulivojiaminisha ila still una chance cheza kama wewe!
Hapana sio mgeni kiivyo, Nishafanya mapenz na zaid ya Wanawake 10 kwakutumia kinga Maana najali afya yangu SanaAkili yangu inaniambia ww ni mgeni kwenye mapenzi!
Anyway yawezekana kwel huyo demu kakupenda au kashakusoma ww mgeni idarani kaaamua kukufanyia manipulation!
Ushauri
Extend mda wa kudate nae piga hata miaka miwili mitatu utajua mengi kwa saivi ni ngumu kujua mengi maana umesema ndo kwanza mna miezi minne
mdogo wangu sio kwa ubaya ila huu ni utoto. Kama una nia kweli muoe usimuumize

unajua unatakiwa ucheze na akili ya mwanamke kama tulivyoambiwa tuishi nao kwa akili, sasa ukiona amevutiwa na Kupostiwa Yaan anapenda mnoo,nikaona wacha niendelee kutumia hyo mbinu.Kwa picha hizo ni KAMBAInaendelea
Akaniambiwa Kipindi Yupo Chuo kuna Jamaa mmoja alikuwa anamhudumia Mpaka kumlipia Kodi , Nakumlipia Ada
Sasa kumbe yule jamaaa alipeleka mahari kwa binti na alikuwa anamhudumia Binti Akitarajia kuwa Atamuoa binti
Binti akaniambia jamaa alikuwa anamhudumia then wanaishia kuwasiliana kwa simu walikuwa hawajaonana , Sasa baada ya muda kwenda Na binti kumaliza Si ndio Kipindi Ambacho mimi nkaanza nae mahusiano , sasa jamaa akaja home kwa binti Ndo hapo wakaonana Sasa binti anasema akashindwa Kumpenda jamaa Ikabidi Binti akatae Ndoa na Msela Huku jamaa alishalipa nusu ya mahari maana binti anasema walikubaliana Kabisa na jamaa kama hatamridhia basi wataachana
Kumbe jamaa akuridhika akamtumia Manzi dada zake kuleta fujo binti anapofanyia kazi lakini siunajua Kunakuwaga na shift Akawa anapishana na wanaotaka kumfanyia fujo Sjui walikuwa na Viwembe , basi ile hali ikamfanya manzi akawa na mawazo , mwisho wa siku nikamwambia awaambie walinzi wa hyo hospital maana ni moja ya hospital kubwa hapa Dar lile suala likawa solved Hawakurudi tena maisha yakaendelea
Hichi kisa ni kabla ya kile cha Mwanzo
Hvyo Basi Huyu binti amekataa wanaume wawili sababu yangu ambao wote walipeleka Posa kwao
Sasa Tabia ya binti Ambayo kwa kwel nimeshazoea ni kwamba Nimuoga sana Hvyo simu hapokei kabisa yani ananiogopa balaa , SMS anajibu shwari na anamapenzi lakini hayupo Romantic sana
Uzuri huyu binti mimi na yeye tumeendana sana maana ni wale watu tunapenda Vibe na Tabia zakucheka Kuweka memes na vitu vingine
Niseme kuwa toka nafahamu wanawake Huyu ni mwanamke wa pekee kabisa kuwa nae kwenye mahusiano yani Haombi pesa , hana tamaa , Ni pisi kali sana , anajitambua sana
Ila Ndo hvyo akiwa kwenye changamoto ni mgumu sana ila Pia sio mtu wa mitandao sana muda mwingi Yupo busy na kazi akipata kamuda chakujibana Tutachat kwa whatsaapp
.
Kwa kwel huyu binti Nataka Nimpe mimba kabisa Kama sio mwaka huu Nimpe mwakani nikiwa intern Maana Ni Complete set ya Mwanamke wa ndoto Halafu ni mzuri jaman.
Swali langu
je ni kwamba ilivyokuwa Uume haupiti na nlikuwa nmemuandaa ni kwamba alikuwa bikra au vp maana damu haijatoka
Sio mtu wa mtandao kwahyo Siongei nae sana maana anakuwa hospital na Anapenda kuficha changamoto zake nimekuwa namwambia abadilike Lakin amekuwa mgumu
Je nawezaje kumvumilia nurse?
View attachment 2743608View attachment 2743610
sizani kama Umri wa mwaka mmoja ni Tatizo , maana Nipo elimu ya Juu yake halafu mimi ndo nacontrol mahusiano Nikimwambia kitu anafanyaUmesema anakuzi umri?
NI UTOTO TU UKIKUA UTAACHA