Umewezaje kudate na mwanamke Nurse?

hapana ni Historia ya kwel
Soma hii itakusaidia

 
mapenzi ya kitoto sana
 
Utakuwa unaanza mapenzi.
 
Akili yangu inaniambia ww ni mgeni kwenye mapenzi!

Anyway yawezekana kwel huyo demu kakupenda au kashakusoma ww mgeni idarani kaaamua kukufanyia manipulation!

Ushauri
Extend mda wa kudate nae piga hata miaka miwili mitatu utajua mengi kwa saivi ni ngumu kujua mengi maana umesema ndo kwanza mna miezi minne
 
Miezi mitano tu kimahusiano inatosha Binti kufahamika kitabia na kutolewa mahari, mbona kama ni kujizika mapema kaburini kwa kifo cha kujitakia?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Miezi mitano tu kimahusiano inatosha Binti kufahamika kitabia na kutolewa mahari, mbona kama ni kujizika mapema kaburini kwa kifo cha kujitakia?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Nilidhani ana mahusiano ya muda mrefu ndo maana nimemuuliza amekutana naye mara ngapi kwenye tendo, amenijibu mara Moja.
 
Kila la heri, ushauri mmoja kutoka kwa veteran, balance shobo ata kama umemuelewa vp mfanye awe na shauku ya kukutafuta zaidi mana unasema most times hadi uanze wewe basi! na usipost pics zake banaa.

Kama daily we ndo unaanza kumtafuta then mayb hajakupenda kama ulivojiaminisha ila still una chance cheza kama wewe!
 
Basi fanya hivi.

Kuanzia sasa usimpe attention. Yaani usimtexf Wala kupiga simu, endelea na shughuli zako kama masomo , akikutumja text usijibu hapohapo, kausha mpaka akutumie mara nyingi ndo umjibu. Jifunze kuwa rare, yaani usipatikane muda wote maana demu ashakuona anaweza kukupelekesha.
 
Oya [emoji3] mkuu hongera kwa kupata pisi Kali tamu alafu isiyo na tamaa Bali yenye kuridhika.

Mjali sana huyo manzi ukifeli kwa huyo nakuahidi utopata mwngn km huyo maana kwa Karne hii pisi za Aina hyo ni nadra sn kuzipata.

Wahi mpige mimba akuzalie kbl wahuni hatujaja hapo kukupiku kiongoz, narudia tn kukupongeza [emoji106] hongera
 
Nuru popote ulipo jua nakukumbuka ulitugawia uloda wanakijiji wote pasipokujuana ila Mungu mwema mimi ndiye nilikutwisha mimba .

Hivyo shujaa ni mimi , nakutakia malezi mema ya mwanao

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Oya mkuu, hiki kisa Chako naomba utuletee kule kwenye Uzi wa Kula tunda kimasihara, huyo nuru anaonekana alikua fire balaa [emoji3]
 
Dogo umepagawa!! Pole sana.

Hujawahi kula pisi kali?, wengi mnakuaga na wenge sana, mnafanya vitu mpaka dem mwenyewe anashangaa huyu mwamba vipi mbona too much.

Tuliza akili hiyo la sivyo siku si nyingi utaleta uzi kua dem wako kaolewa.

Umesema upo chuo, focus na masomo yako uje mtaani vizuri. Huyo dem atakufanya uanze life la mtaa kiboya. Muda huo uliopo sasa sio wa kufocus na mapenzi hasa kua na mahusiano na mwanamke ambaye yupo kwenye presha ya ndoa.

Atawakataa ila hatowakataa wote.
 
Oya mkuu, hiki kisa Chako naomba utuletee kule kwenye Uzi wa Kula tunda kimasihara, huyo nuru anaonekana alikua fire balaa [emoji3]
Dah ww acha tu yaani mpaka ilifika mahali kila anayemuongelesha unahisi tayari wameshamaliza .

Yule dada hapana sasa mdomo ndiyo usiseme yaani ukiwa naye neno siri kwake halipo .

Basi bwana mwisho nilifumaniwa nikajiokoa kininja japo niliacha ka baby boy ila nimempa kama zawadi ila siweze msahau yule medical attendant.

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…