Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,704
Wadau
Siyo maneno yangu ila nimewanukuu wapenzi wa Simba muda mfupi ulipita kupitia Luninga.
WanaSimba Wanasema.
Kwamba Mei 8 watakutana na Yanga kwa ajili ya mazoezi kujiandaa na mechi na Kaizer Chiefs.
Kwamba wanaYanga wote wenye pressure wasiende uwanjani siku hiyo!
Siyo maneno yangu ila nimewanukuu wapenzi wa Simba muda mfupi ulipita kupitia Luninga.
WanaSimba Wanasema.
Kwamba Mei 8 watakutana na Yanga kwa ajili ya mazoezi kujiandaa na mechi na Kaizer Chiefs.
Kwamba wanaYanga wote wenye pressure wasiende uwanjani siku hiyo!