Umewahi ona familia kama hii...?

Umewahi ona familia kama hii...?

Binti1

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
668
Reaction score
1,764
[h=5]Umewah ona familia kama hii...?

1:Eti Mtu ana sura mbaya mpaka akijiangalia kwenye kioo kinaandika Please wait...
2😀ada zake ni wabaya hadi wameweka tangazo getini eti oa mmoja upate wawili bure.
3:Mtu ni mweusi hadi ukibeba mtoto anasinzia akizani giza limeingia
4:Kwao wako wengi hadi mtoto wa mwisho anaitwa etc.
5😀amu zao ni tamu mpaka mbu huja na vitafunio kama chapat hivi
6:Kwao ni wengi mpaka babayao akiingia anasema 'hamjambo wananchi'
7:Kwao kuchafu mpaka inzi na mende huvaa kandambili.

[/h]
 
Umewah ona familia kama hii...?

1:Eti Mtu ana sura mbaya mpaka akijiangalia kwenye kioo kinaandika Please wait...
2😀ada zake ni wabaya hadi wameweka tangazo getini eti oa mmoja upate wawili bure.
3:Mtu ni mweusi hadi ukibeba mtoto anasinzia akizani giza limeingia
4:Kwao wako wengi hadi mtoto wa mwisho anaitwa etc.
5😀amu zao ni tamu mpaka mbu huja na vitafunio kama chapat hivi
6:Kwao ni wengi mpaka babayao akiingia anasema 'hamjambo wananchi'
7:Kwao kuchafu mpaka inzi na mende huvaa kandambili.

Hii ni matani ya waKenya
 
teh teh teh kwi kwi kwi mh mh mh mbavu jabadi mpaka mabua yabenibada.
 
yani ww mleta maada ni mweusi mpaka ukirushiwa jiwe linarudi kudai tochi .kwenu mpo wengi mpaka mkipigwa picha inaandika to be continual...... ..........3) yani wewe ni mrefu mpaka ukinywa maziwa ya fresh mpaka yafike tumboni yanakuwa yameganda chezea wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom